Kwa aliyeserious.Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 968 mita square kwa bei ya 150,000,000/= na kina Godown kubwa. Kipo Kivule stand ni eneo zuri la biashara.
Anayehitaji anipigie kwa simu hii 0752643919
Snl solar ltd inakuletea solar fridge/freezer zenye ubora wa hali ya juu na warranty ya kutosha mahali/mkoa wowote ulipo kwa gharama ile ile .Ofisi zetu zipo Kinondoni Vijana
Kwa mawasiliano...
Habarini wadau nauza laptop yangu ni lenovo G 510 specifications zake ni
i5
RAM 4GB
HARD DISK SPACE 1000GB
imetumika miezi 6 tu so still bado ina warranty yake na kila kitu chake kipo na ipo...
Kwa anayehitaji viwanja vipo Kiseke B Wilaya ya Ilemela Mwanza, vinauzwa vyote vipo sehemu moja , gari linafika na umeme upo jirani kabisa, bei inaanzia 5milioni kwa kila kimoja ila pia inapungua...
Dijitali ndio hiyoo imetushtukizia sie walalahoi hadi leo hatujaamini kama wamezima kweli na tunahisi watawasha tu analojia,
nahitaji kuwa dijitali na mimi ila ka uwezo kangu kadogo, nipo siriazi...
Kiwanja chenye Nyumba mbili za tope kipo Kisongo Arusha karibu na soko la Kisongo mita 50 toka sokoni na mita 160 toka barabara kuu iendayo Arusha mjini bei milioni 10 mazungumzo yapo. Tuwasiliane...
1.Shamba liko kijiji cha madege wilaya kibaha vijijini -mkoa wa pwani. km 30 kutoka minzani vigwaza (morogoro road).
2.Liko karibu na mto ruvu.maji hayakauki
3.Linafaa kwa kufuga mifugo mbali...
Ndugu wadau Nina kiwanja kilo morogoro kihonda kwa chambo kina ukubwa sq mita 600 kipo karibu na Barabara. Huduma yq umeme IPO Maji ya kisima cha kuvuta. Kipo kwenye ramani. Being maelwwano. Cont...