Toyota IST inaitajika

Toyota IST inaitajika

gvale

Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
96
Reaction score
99
habarini ndugu zangu
naitaji toyota ist kwa shilingi za kitanzania 4ml yeyote mwenyekujua naomba ani PM please
 
Milioni nne IST? unataka scraper ama ambayo utaendesha barabarani?

KWa experience yangu tu hiyo budget uliyojiwekea ni ndogo mno mkuu!
 
habarini ndugu zangu
naitaji toyota ist kwa shilingi za kitanzania 4ml yeyote mwenyekujua naomba ani PM please
Kwa bei hiyo ni ngumu kupata gari nzuri unayohitaji
 
habarini ndugu zangu
naitaji toyota ist kwa shilingi za kitanzania 4ml yeyote mwenyekujua naomba ani PM please
Mkuu kupata utaipata ila sasa itakua sio nzima kiviile maana mm nilifika had Mil.7 ila ilikua ngumu kupata hadi nilipoongezea
 
.. gvale kwa kutafutiwa gari likatalo kkufa au ushauri 0715591141
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom