Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza tecno h6 kwa sh140,000, haina tatizo lolote na Utapatiwa pamoja na chaji na vitu vengine KWA MAWASILIANO PIGA 0717628465 au 0682907401
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nnauza selfie stick kwa bei nafuu serious buyer call 0713 706571
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie kunifahamisha bei ya tecno tablet mpya
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ipo ktk halinzur hasa kimuonekano hadi kiufanisi wa kazi, Internal memory 4GB front camera & back camera bila kusahau flash light. Pia Unapata na chaj yake pa1 na cover. ONYO ===== INATATIZO...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Safari ni tarehe 20/07/2015 saa tisa alasiri. Bei ni tsh.100,000/= karibuni
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Samahani wanajf wenzangu mm nimejiunga na internet banking crdb na tayari inafanya kazi.... lakini nikijaribu kulink credit card yangu na paypal inanigomea... samahani kama kuna mtu ana ujuzi na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
isiwe na tatizo lolote...Yenye action movies{crime} za kutosha.nipo dar,nichek tufanye biashara 0719440158
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Kwa anayeuza, kununua, kuweka security ya KIWANJA katika mkopo, nafanya TRANSFER OF TITLE, MORTGAGING kwa bei NAFUU kabisa, kuanzia laki nne. Kwa anayehitaji ani PM Au...0715820855
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Vietel ni mtandao mpya wa Simu kutoka Vietnam ambao unatarajia kuzindua Huduma zake Septemba mwaka huu,mtandao huu kwa sasa wanakaribia kukamilisha zoezi la kutandaza minara nchi nzima. Vietel ni...
7 Reactions
82 Replies
13K Views
jaman wan jf nna 250k natft iphone4s anayeweza kuniuzia kwa bei hio ancheck
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Bajeti yangu ni 350,000 mwenye nayo tafadhali nijulishe, faster kidogo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Viwanja vinauzwa maeneo mbalimbali kama Toangoma, Muembe mtengu, Geza ulole, maeneo yote yapo karibu na Kigamboni na yapo yaliyopimwa (yenye hati) na yasiyo pimwa. Bei...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar wakuu, viwanja vinauzwa Ifakara maeneo ya kibaoni vyenye ukubwa wa high density vipo karibu na Mbega resort. Mwenye kuhitaji wasiliana kwa namba 0715495215
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahijataji huawei p6 Or p7 anaeuza aje na picha pamoja na Bei! Karibuni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamforum, Nina Tablet za Samsung na lenovo toka SA kwa anayehitaji. Anicheki niko Dar 071470272
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nahita vyumba viwili na sebule maeneo ya sinza,changanyikeni,kimara hata tabata..iwe na parkin kod isizid 200000. Nichek 0783380123
0 Reactions
0 Replies
789 Views
nahita vyumba viwili na sebule maeneo ya sinza,changanyikeni,kimara..iwe na parkin kod isizid 200000. Nichek 0783380123
0 Reactions
0 Replies
618 Views
habari,je unataka kuwa cartoon? Kutoka kwenye picha yako yoyote uipendayo? Usijali ni kaz rahs nione nikutengenezee cartoon inayowiana kabisa na wewe,angalia picha zifuatazo kuona baadhi ya kaz...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wana JF, mimi ni mwanafunzi wa chuo cha uuguzi na ukunga (nursing and midwife) ngazi ya cheti (enrolled nurse) kilichopo mwanza ila natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…