Boxer za ukweli pamba halisi kutoka uturuki zinazoendana na mazingira ya nchi yetu ya joto kwa elfu 7 tu kwa mahitaji ya jumla ni pm, jipatie yako kwa dsm tunakuletea ulipo mzigo.
Nna line mbili za uwakala wa m-pesa na tigo pesa nnauza kwa bei nafuu zaidi
M-pesa 180000
Tigo pesa 250000
Kwa mteja mwenye uwakika wakununua piga 0713 706571
Wadau ninahitaji ngano au shairi iliyovunwa haraka iwezekanavyo. Kiwango ni Tani 30 kwa kuanzia.
Iwe ngano au shairi safi na nzuri yenye kukidhi viwango vya kimataifa.
Isiwe imetobolewa na wadudu...
location ipo musoma mjini ,Millage Km 68.5, automatic, right stearing, year 2004, engine 990cc ,
Whatsapp kama unataka picha wakuu kuna error inatokea nikiupload pich karibuni
0762165498...
NYUMBA ina uzwa iko magomen kagela million 200 kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa Whatsapp kupitia namba 065 733 3663.... wasialiana na mm nikupeleke ukaione mwenyewe ...for serious buyer only
nauza simu zifuatazo
1.note 2 almost new imetumika wiki 2 price 400000/=
2.huawei y300 used ipo kwnye hal nzuri price 100000/=
3.samsung galaxy mpya full box-250000 maelewano yapo nicheki fasta...
Vina ukubwa wa square meter 440 kila kimoja, vinapakana. Vipo karibu na barabara kuu ambayo inaunganisha mbezi beach na mbezi kimara kupitia goba. Umbali ni dakika 5 kwa kutumia gari. Umeme upo na...
Kiwanja kipo Tegeta A 20*19 Sh. Million 6. Maeneo ya tegeta A, Shule ya msingi kuna njia ya umme na barabara mpaka kwenye kiwanja.
Mazunguzo yapo, Piga 0717751644.
Nauza Samsung note ii nimetumia kwa wiki tatu tu tangu nimenunua it's almost mpya
Nauza kwa bei Ya laki tatu na nusu tu
Kwa mawasiliano unaweza kunicheck kwa namba 0686 274501
Natafuta msaada wa kumpata mtaalamu wa kuchora ramani ya nyumba ya kisasa, nipo dar salam nahitaji msaaada wa mtaalam wa kuchora ramani za nyumba za kisasa wasiliana nami kwa kuni PM
Mwenye sqm kuanzia 9000 tuwasiliane,eneo liwe jirani na barabara kuanzia Kimara hadi Mlandizi,umbali mwisho 1km,pia kwa Bagamoyo road kama lipo tuwasiliane,barabara na umeme vyote vipatikane hadi...
Mwenye sqm kuanzia 9000 tuwasiliane,eneo liwe jirani na barabara kuanzia Kimara hadi Mlandizi,umbali mwisho 1km,pia kwa Bagamoyo road kama lipo tuwasiliane,barabara na umeme vyote vipatikane hadi...