kama kichwa cha thread kinavyosema.... Ninaomba kama mtu ana uelewa wa kutosha juu ya majiko haya ya gesi
(i)Aina ya kwanza ni yale ambayo yana plate moja halafu yanatumia kopo dogo la methane...
Wanajamii,
Kwa yeyote mwenye idea ya kuwekeza ktk utoaji elimu kwa watoto ngazi ya chekechea na msingi, Shule IPO tayari, we we ni kukodi tu na kuiendesha kwa kadri ya mkataba tutakaowekeana...
VIWANJA WINAUZWA – JIJINI DARESSALAAM
1.GEZA ULOLE
a) Block 23, plot 266, 989 square meter, bei milioni 22 ila maelewano yapo – kina hati
b) Eka 35, bei milioni 250, ila...
Nahitaji gari ya aina ya Noah ambayo ni used hapa nchini. Iwe na sifa hzi
* Iwe katka hali nzuri ndani ya gari, kwenye injin na gear box. aidi.
Nina utalaamu na uzoefu wa kutosha ano zaidi. na nje...
Kama kichwa cha habari hapo juu pikipiki inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwa hiyo utumiaji ulikuwa mzuri tofauti na waendesha bodaboda, mi nilikuwa naendea kazini...
Wasalaam,
eneo linauzwa milioni 28 hapa salasala km 2.5 kutoka bagamoyo road.
kuna msingi wa nyumba imenyanyuka kukaribia kwenye rinta
Bei tunaweza kuelewana.
Nicheki kupitia 0652068060
Kiwanja ukubwa 20*19 million 6
Kipo karibu na shule ya msingi tegeta A
Barabara na umeme vipo mpaka kwenye kiwanja mazungumzo zaidi yapo
Call 0717 751 644
Kwa mahitaji yako yote ya sanaa ya kiteknolojia(digital art work), tunamaanisha kuanzia
1. logo 2. labels 3. brochures 4. business cards 5. letter heads
6. latest and best website designs...
Nakupa Vega no 6 na sh 100000 taalim nahtaj kati ya simu tajwa hapo juu waweza ni pm
Pantech Vega no 6 specs
Ram 2GB.
1.5gh processor
32GB internal Memory
v-touch
wifi,nfc,blietooth,
android 4.4...
Habari zenu!
Nina supply maziwa fresh na mtindi. Unaletewa mpaka nyumbani ukiwa Dar kuanzia lita tano. Na ukiwa mwenge hata Chini ya lita tano Unaletewa.
Maziwa fresh lita moja 2000/= na lita...
Nauza imac 27" had tb1 ram gb8 5icore display 5k retina, Ina crack kwa Mbali imejigonga ipo kwenye box mpya 0687 387545 au 0715 387545 sms upigiwe Andrea imac kwenye sms. Bei m3.3