Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari zenu. nahitaji contact za fundi wa kufunga security alarm system kwenye gari.... natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu hamjambo? Natafuta kabati tajwa hapo juu kwa bajeti ya laki 1 na 50. Mwenye nalo ani pm tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Simu tajwa apo juu inahitajika...weka number yako au nipm number yako
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Anahtajika mvlana au mschana mchapakazi kwa ajili ya kuuza nguo.kwa maelezo zaidi 0659965555
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Kama inavoonekana pichani... Ipo in good condition.. Bei ni USD 5800 (Negotiable)... Kwa maelezo zaidi na mawasiliano nicheki +255714499248
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Kwawamiliki washule wote kampun yetu imewaletea solution kusiana na maswala ya fedha kwa usimamizi wamaswala ya fedha popote hulipo kupata tarifa za malipo ya ada kupitia Simu yako ya mkonono na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipo mtaa wa pili toka barabara ya Ali Hassani mwinyi inatazamana na uwanja wa Leaders Club , ina vyumba 2 vya kulala setting room , jiko store n.k, ina ziada ya tank ya kuhifadhi maji lita 5,000...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Bado sijapata carry nzuri budget yangu ni mil 7 nashukuru, kuna mdau ame ni PM ila sijaweza kujibu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nikiweza nitakupatia whatsapp tuwasiliaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wa kawaida; Ni jeupe, linaangaza sana, ukichukua tochi ukimulika mwanga unarudi, hili ni jiwe moja ambalo kwa juu kuna vijiwe vingi sana ambavyo vina maumbo mengi, kwa mfano nyumba za...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
kutana na laptop kali sana aina zote kwa mawasliano zaid piga 0759321911
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Shamba linauzwa Eneo Mwanzoni mwa wilaya ya Makete ukiwa umetokea Njombe mjini (Mkoa Njombe), Kijiji Mang'oto, ni kijiji cha kwanza tu ukianza wilaya ya Makete. Umbali kutoka na barabarani- Km...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Asali Mbichi kutoka katavi inauzwa kwa mawasiliano zaid contact nu
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Nyumba nikubwa ina paking kubwa, garden nzuri, jiko kubwa,siting room kubwa, darning kubwa, master kubwa , ina vyumba 3 na kila chumba kina toilet yake chumba ipo Mikocheni. Mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Ni ya mwaka 1998 inatumi petrol , ac ipo safi tv ndani, cd na tap ipo safi, ni namba c, imetembea km 109000. Wasiliana kwa no 0719891518 au 0765019798 ninapatikana mikocheni karibuni sana.
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Simu tajwa hapo juu inahitajika, Kwa mwenye nayo anicheck fasta
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza home theatre aina ya LG kwa shilingi Lak 3 tu. Pia ipo sub woofer yenye spiker 5 pamoja na dvd yake nayo pia naiuza shilingi 250,000/= nia aina ya sea piano. Nichek 0713401812
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Ni itel it1403 ipo ktk hali nzuri nzur sana, sababu imetumika miezi mitatu tu na cku kadhaa. Ina camera ya mbele pia na yanyuma bila kusahau flash light... Inakuja na power bank,cover na memory...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Gari aina ya Mazda Bongo inauzwa Tshs 3.m, for more details just call 0713234224
0 Reactions
7 Replies
3K Views
CC 1998 Fuel: Petrol year of manufacture 1995 mileage 100000 price : Tsh 7,500,000 contact 0714845775, 0754812547
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji huwawei y530 nina tsh130000 nipo mwanza mwenye nayo anipm
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Back
Top Bottom