Ipo mtaa wa pili toka barabara ya Ali Hassani mwinyi inatazamana na uwanja wa Leaders Club , ina vyumba 2 vya kulala setting room , jiko store n.k, ina ziada ya tank ya kuhifadhi maji lita 5,000 generator n.k bei ni 750,000/= kwa mwezi kodi inachukuliwa kuanzia miezi 6 na kuendelea.
Tuwasiliane 06571455555
Tuwasiliane 06571455555