Habari za muda huu wanajamvi!
Gari tajwa hapo juu inauzwa kwa bei pouwa kabisa. inaenda kwa shilingi 6.8 milioni. Gari bado jipya na lipo kwenye hali nzuri kabisa with full options kama vile...
Viwanja viko kibamba shule ukubwa kuanzia Mita 20*20 bei 4.5milion bei inaongezeka Kulingana na ukubwa, vyote vinafikika kwa barabara, huduma Za umeme na maji zinapatikana.
Kwa taarifa zaidi...
viwanja vyenye ukubwa wa mita za mraba 400 na kuendelea vinauzwa kigamboni toangoma kuanzia milioni nne na nusu na kuendelea.
viwanja vipo katika mpangilio na gari inafika katika viwanja vyote...
Ukubwa wa kiwanja 20×15(300sqm)
Barabara ipo hadi kwenye kiwanja.
Umbali toka mbezi mwisho ni kilomita 4 hivi. Daladala zipo hadi msakuzi.
Kiwanja ni tambarare, umeme upo.
Bei milioni 5 (maongezi...
Mtandao wetu unajihusisha na matangazo ya kibiashara,
Watu wanao kodisha kumbi za sherehe na mikutano mbalimbali wamekuwa wakiuliziwa na wasomaji wetu kwani tuna kipengele kama hicho kwenye...
Vitu vilivyoorodheshwa hapo juu vinauzwa
HP: HP 250 G1 Notebook PC Laptop specs bei yake ni tsh 500,000
pamoja na apple ipad ni tsh 500,000
anayehitaji vitu hivyo tuwasiliane kwa namba 0717 268...
Shamba heka kumi linauzwa milioni 15 tsh. maelewano if serious buyer.Shamba lipo Kijiji cha Msinune, Bagamoyo/Msata road karibu na Kiwangwa. Lipo kilomita 7 kutoka barabara ya Bagamoyo/Msata, njia...
Habari zenu humu ndani?
Kwa mara nyingine tena naleta tangazo juu ya vitabu vya Joram Kiango ambavyo vipo sokoni kwa sasa. Vitabu hivyo ni ROHO YA PAKA, NAJISIKIA KUUA TENA & ROHO YA PAKA. Vitabu...
nyumba ipo kigamboni Toangoma dsm mita 150 kutoka barabara ya lami.
bei ni milioni 35 ila maelewano yapo
ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja kina masterroom
ina sebule
ina jiko
ina dinning...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.