Brand new house
Located kijitonyama
2 self contained bedrooms
Sitting room, Kitchen, stoo, balcony
Tiles,Gypsum,Feni,
Iko ndani ya ukuta
Car Parking
Rent 350000tsh
Ni kutoka India, kampuni ya DUBAO. Max power Ni 3.2 kv. Ina wire winding ya cooper. Miezi mitatu yangu inunuliwe.
Liko Tegeta.bei Ni 500,000.
Kwa mawasiliano 0755815174
Habari, tuna incubators zenye uwezo wa hali ya juu sana ambazo zina sifa zifuatazo:
1. Zina emergency power source endapo umeme wa tanesco utakatika kwani zina system unayoweza kutumia solar power...
Heshima kwenu wakuu.
Ninahitaji simu yoyote ya android yenye qwerty key board ya kawaida isiyokuwa touch au yenye option zote.
Mwenye hii simu anambie tufanye bihashara.
Pia naomba ushauri...
Wapendwa natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya kigamboni, kiwe maoneo si ya kiswazi, pawe na maji, na choo kizuri, bajeti yangu ni 50,000
NB-ni chumba cha kuishi, kiwe na umeme, kiwe...
Kwa wale wanaohitaji machine za kukata vitambi, wafike pale Diamond Jubilee Kwenye maonyesho ya bidhaa za China ambayo yataisha keshokutwa tarehe 13/09/2015.
Ukiingia nenda moja kwa moja kwenye...
Simu aina ya Viwa X55, inauzwa. Bei 240,000/=, imetumika kwa miezi 3, ipo ktk hali nzuri kabisa. Inapatikana Dar es Salaam, kwa mawasiliano nicheki kupitia 0757 393623.
SPECIFICATIONS ...
KARIBU FUNDI NOW.COM KWA MAHITAJI YAKO MBALI MBALI
FUNDINOW INA KUUNGANISHA NA MAFUNDI MBALI MBALI WAZURI WALIO PENDEKEZWA ILI KUKIDHI MAHITAJI YAKO. JE UNA HITAJI FUNDI BOMBA? FUNDI SEREMALA...
Habari wakuu,
Kwa ambao wanafahamu naomba wanielekeze sehemu ambapo wanauza vyuma vya GYM.Mie nlikua nataka vile vidogo vya kuinua kila mkono chake.Kama kuna mtu anavyo anauza au kama unajua...
online accounting software............
it has the following features
sales
accounts receivable
accounts payable
purchases
inventory
manufacturing
petty cash
asset manager
general ledger
all...
Good news! I present to you a new, very new Camera all the way from USA. The Canon D-1200 Camera comes with its full box plus facilities at a reasonable price.
The Price with Negotiation stands...