Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kitabu cha Administrative law fourth edition cha H.R.W.Wade Pamoja na Customary land law in Tanzania vinauzwa..@ 0717033366
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Natafuta desktop power supply ya sifa hizi 24 pin, 500W, used au mpya, kuna zile za kichina zimejaa madukani zina box za orange na black hizo hapana.
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Please kwa mwenye type hii ya njiwa. Wale wenye mikia mirefu na manyoa mengi mfano wa tausi. Tuwasiliane aniuzie.
0 Reactions
1 Replies
953 Views
husika na kichwa cha habari hapo juu,,kwa wale ndugu zangu ambao hawafaidi tendo la ndoa kwa kuwahi kufika kituoni mapema,sasa wanaweza kufurahia tendo kwa kutumia dawa tajwa hapo juu kwa bei ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nimepoteza smart4ne yangu, natafuta simu itayonipa mawasiliano kwa kipindi hiki. budget 20k strictly. Kwa aliyetayari anipm.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza printer tajwa hapo juu, Wadau nimeletewa tu hata bei yake sijui mpyaaaa toka UK Ina print Scan Copy Weka ofa yako
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ni HP Compaq nc 8230,ime'corrupt hard disk tu. Ram 1GB. Processor 2.0 GHz Battery life: 2:30 - 3:00 hours(inategemea na matumizi. Ni 150k. Nakupa uhakika kuwa haina tatizo jingine ni hili...
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Haya wale mnaotaka Tshirt kali za Lowassa mambo yameiva... Napokea oda kubwa na ndogo... Karibuni
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Wapendwa Kuna mtu aliniletea Galaxy note 3 mpya (Haina contacts wala setting zozote) anataka kuniuzia. Nilimuhoji kuhusu uhalali wake kwa kuwa ni mtu nisiye mfaham Kanijulisha kuwa kaka yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau. Naomba kujuzwa,foreign used Toyota Platz apa Dsm naweza kupata kwa bei gani. Je kuna zenye 4WD? Nahitaji kwa ajili ya apa na pale za apa mjini. Nasubiri maoni yenu, maana hapa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Zenu wapendwa, Kama una biashara binafsi , kampuni ...au ni wewe ni professional kwenye eneo lolote mfano engineering, marketing, medicine etc. Karibu Olcomlabs ..Tutakufanyia yafuatayo...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Kuna nyumba inapangishwa ipo maeneo ya ipagala emaus ya pili ina sitting room, dinning room, jiko na vyumba vinne vya kulala, vitatu n vya kawaida na kimoja n master . Bei yake ni tsh. 250000/=...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota Coasta box inauzwa mil 14 iko Dar es salaam kwa mawasiliano 0755570570, picha hizi hapa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Sqm1600,block namba 1,,bei ni 20mil.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja viko kibamba shule ukubwa kuanzia Mita 20*20 bei 4.5milion bei inaongezeka Kulingana na ukubwa, vyote vinafikika kwa barabara, huduma Za umeme na maji zinapatikana. Kwa taarifa zaidi...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
ram 2gbhdd 160 web cam disply 10.1 inch olny for 420k with warranty betre 7hrs an 4o mins 0789521550
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kabati bado lipo vizuri kabisa kama linavyoonekana pichani. Bei ni 230,000 laki mbili na thelathini pungufu unaongea na naamini tutaelewana. nipo Dar 0715553166
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Brand new Tecno c8 for 300,000/= call/whatsapp 0652735050
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji windows phone. Bajeti 250,000/= Utanipa simu gani. Niambie model na current status ya hiyo simu hapa hapa. Asante.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tecno winpad 10 kwa 700,000/= call/whatsapp 0652735050
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…