ngosha2011
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 681
- 87
Ndugu mimi ni mfanyakazi wa serikalini,nina shida ya mkopo wa fedha kwa haraka,nipo mkoa wa simiyu
unataka mkopo kwa staili ipi?
yoyote ambayo itakuwa sahihi,
bank hawataki?
nimekuambia kuwa ni haraka,
unataka shilingi ngapi?
kama 1.5m
Kamuombe magufuli
Uwe tu makini, hapo utazungushwa kichwa na hata watoto wa sekondari,
Huko pm ndio kabisaaaa, kifupi jf hakuna anayeweza kukupatia hicho kiasi kirahisi.
Watu watakuja pm kutaka kukujua kiundani tu.
Ndugu mimi ni mfanyakazi wa serikalini,nina shida ya mkopo wa fedha kwa haraka,nipo mkoa wa simiyu