Naomba msaada anayejua mashine ya kutengeneza chapati 200 kwa saa, anisaidie. Nimekuwa nikitumia chapat maker ila Haina uwezo huo, sasa natafuta ya kutengeneza chapati 300 kwa saa.
Habari zenu ndug wana JamiiForums,
Kama mada inavyojieleza hapo juu mimi kijana mjasiliamali ninaye jiusisha huduma uuzaji wa vifalanga vya kuku wa kienyeji na chotara wa mwezi mmoja na vilivyo...
Swalama ndugu zanguni?
Huyu mwamba anapika sana pilau, sijui kwa sasa yuko wapi?
Mwanzo alikuwa soko la Kibasila Kariakoo. Soko lilipovunjwa kupisha mradi wa Reli ya SGR akahamia Suwata.
Sasa...
Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za
kilo 3 - tsh 120,000 tu
Kilo 4.5 - 350,000 tu
Kilo 7 - 560,000 tu
Bei zetu ni nafuu sana mtu yoyote anaweza ku afford
Offer hii...
Wajasiriamali mwaka ndio huo unaanza karibu ujipatie
Mashine tunapatikana mtaa wa masasi kariakoo fuatilia hapa zilizopo dukani
Mashine za juisi ya miwa sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe...
Wale msiojua mnaoingia asala Kila wakati kununua taa za gari ako, mkombozi amepatikana ,
Okoa ghalama za kununua headlight hadi lakin tatu nakuendekea Kwa sh elf 30 tuh!
Hii huduma yakuondoa...
Karibu nikuuzie mbegu bora ya Kambale kwa bei nafuu ya Tsh 300 kwa kifaranga kimoja.
Kambale ni aina ya samaki mstahimilivu na anayefugika kwa urahisi kuliko aina nyingine ya samaki. Mbali na...
Shamba la ekari kumi (10) au zaidi linauzwa eneo la Vianzi, ni umbali wa Km 6 kutokea Vikindu, barabara ya Kilwa, Km 36 kutokea katikati ya jiji la Dar. Linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji, kwa...
Kitabu "Make Money With Affordable Apartment Buildings and Commercial Properties" kinazungumzia njia mbalimbali za kuwekeza katika mali isiyohamishika kwa gharama nafuu. Hapa ni mambo 10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.