Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nokia lumia 710 windows phone....kama upo mwanza na unahitaji nichek...bei laki mbili.ipo katika hali nzuri sana sababu haikuwa inatumika kwa muda mrefu......betri yake ilipotea nimeshindwa kupata...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
tigo 280k mpesa 170k airtel 120k utapata na vitabu vyake ..blessd 0712191251
0 Reactions
0 Replies
679 Views
wakuu natafuta kitanda nchi 5/6 nipo dar bajeti yangu ni 150,000/=
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Wakuu kuna rangi nahangaika sana kuitafuta. Inaitwa Sherwin William Copper Mountain #SW-6356. Hii rangi ni ya nje kama sikosei, ila nasikia kuna jamaa wana mixer zinazonaccept foreign codes...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
iwe either mbezi beach, makonde, africana, mikocheni, iwe ya vyumba vitatu na iwe ndani ya fensi,, hata zikiwa nyumba mbili ndani ya fensi moja no problem. maximum kodi laki tano ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauza simu yangu galaxy S3 iko katika hali nzuri haina hitilafu yeyote...imetumika miezi 4 bei 28000 iko mpka na box lake.....0652444079
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jokofu kubwa jipya linauzwa Bei: 800000/=. Ni jipya na limenunuliwa Mlimani city kwa shilingi milioni moja na laki 2(1.2 m)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nauza simu ya samsung s3....ipo kwenye hali nzuri...nyeupe na ina kava jekundu kwa mawasiliano 0683943350 bei 250000
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Simu aina ya samsung galaxy note 2 (shv-e250k) naiuza shs za kitanzania 350000. Simu imetumika. Anaye hitaji tuwasiliane kwa 0762908352. Npo mwanza.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
TABLET MPYA KABISA AINA YA ARCHOS KUTOKA FRANCE SPECIFICATIONS: 8" 2X Camera Wi-Fi HD 1080p RAM 1 GB 8GB microSD slot Bluetooth GPS Ina Magnetic cover board Multi touch capacitive screen Na pia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu kuna mtu anahitaji nyumba ya kupanga vyumba vitatu na sebule kuwe na maji bei yake isizidi 30000 per room maeneo ya kiloleli au igoma. .mwenye taarifa ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu amani kwenu, Mwenye ufaham na upatikanaji wa viwanja bagamoyo anijuze tafadhali kuhusu bei, ubora wa eneo na details nyingine ili nifanye MAAMUZI MAGUMU Nasubiri maoni wenu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nipo mabibo jeshini huku Simu iwe nzima kabisaaaaaa na iwe angalau na sifa hizi Cpu 1.0ghz Ram 1gb Internal angalau ianze 4gb Camera 8mp Screen 5inh Karibuni 0657445777 whatsap na sms
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Kichwa cha uzi cha husika. Nina laki moja.
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Kwa maitaji ya viwanja vya makazi biashara kwa maeneo yafuataya vinapatikana! #Kigamboni-dege , mwanzo mgumu, Kimbiji #mkuranga mjini, mwandege #Kibaha Kwa mawasiliano zaidi 0784 45...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shamba la heka 29 ambalo baadhi ya sehemu yake imepandwa miti 2300 ya mbao ambayo kwa sasa imemalza miaka 3 toka ipandwe linauzwa kwa sh million 40 jumla na miti yake. Shamba hilo linapatikana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta chumba self contained au nyumba 2 bedrooms au 3 bedrooms eneo la Survey au Rufungira. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Everyone whants an extra income. Financial freedom. Travelling to different places outside Tanzania. Lets talk about business project contact us 0654504794 (0683960762 whatsapp). Thank you!
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Kwa wale wanaowahi kufika kituoni mapema, sasa waweza rudisha heshima yako kwa kutumia dawa tajwa hapo juu kwa sh.4000 tu, Unaweza kuwasiliana nami kwa 0672110065.
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Mwenye nayo anipm anitajie how much
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…