Nanunua ticket ya Fastjet Dar-Mwanza ya jumapili

Nanunua ticket ya Fastjet Dar-Mwanza ya jumapili

Me nnayo ya kesho jmos dar mwanza...f interesed 0763735126 ni ya mdada lakini
 
Mkuu kwani ofisi zao huzijui? Sa unaponunua tiketi kwa mtu na kitambulicho chake pia ndo utakachotumia? Usisahau kuwa hizi budjet airlines kubadilisha jina au tarehe ya safari mara nyingine hugharimu hadi zaidi ya bei ya tiketi. Kila la heri
 
Mkuu kwani ofisi zao huzijui? Sa unaponunua tiketi kwa mtu na kitambulicho chake pia ndo utakachotumia? Usisahau kuwa hizi budjet airlines kubadilisha jina au tarehe ya safari mara nyingine hugharimu hadi zaidi ya bei ya tiketi. Kila la heri
Mkuu chini ya jua hakuna lisilowezekana, mjini shule
 
Nimekumbuka kesho nyama choma malaika so iwill use t my self.
 
Back
Top Bottom