Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana JF mwenye kumfahamu fundi mzuri wa kabati za kisasa za jikoni naomba anijulishe. Asanteni!
0 Reactions
9 Replies
7K Views
habari wana JF... nimeona mashine inaitwa Lumber pro, ktk you tube, ila nimejarib kuwatumia mail haijajibiwa kwa muda sasa. labda kwa wanaojua zaidi ni katika sait gani naweza kufanya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gar aina ya Deut inauzwa location iko Mbezi beach for seriously buyer contact 0715300481. Only for 3.7miln.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari, Nahitaji iyo kitu. Anayeuza anichek pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bado sijaipata so kwa mwenye nayo still anicheki kupitia. 0764339400
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta Samsung galaxy S5, S4 used kwa sh 100,000/ . Nicheki 0718090892 nitumie picha whatsapp nikiipenda tutafanya biashara.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Unaweza ukajipatia hyo mashine pamoja na speaker zake zote 5 kwa shilingi 350 ,000/= tu. Music mkubwa kwa bei rahis. 0713401812 karibuni.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu wapi naweza kupata mashine ya kamari kama hii kwa kununua hapa Tanzania manake juzi juzi mchina fulani alizileta hapa ushirombo Geita watu tukawa tunakula hela sio mchezo ila akaja kuzitoa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama unamjua mtu ambaye anauza gari aina ya range rover na cruiser naomba tuwasiliane kwa namba 0755103405.. Inahitaji haraka
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nilinunua bidhaa from China via eBay lakini loooh Leo ni siku ya 20 bado havijafika na zingine kila nikijaribu kutrack naishia kuona pameandikwa " operation complete" na nyingine naambiwa "...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani kama kuna mtu anayeuza chupa tupu zenye seals na vizibo vyake ziwe za plastiki au za glasi naomba ani PM tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nitakuwa mbeya kesho kutwa kama utahitaji kutengenezewa incubator kwa gharama nafuu na yenye ufanisi wa 86% tuwasiliane kwa no. 0754078015. Nitakua Mbeya mjini.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Uongozi wa kbn media group, tunawatangazia watu wote kuwa tunatengeneza blog na tovuti. Kwa bei rahisi na kutengeneza adsense acc ambayo itakusaidia kiuchumi. Utalipwa mpaka dolla 300 kwa mwezi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF na umma kwa ujumla kiwanja cha biashara chenye ukubwa wa mita za mraba 4000 kinauzwa maeneo ya Ununio nusu kilomita kutoka ufukweni na kama nusu kilomita kutoka barabara ya Bagamoyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jipatie cm zifuatazo kwa bei nafuu. Note 1 kwa 250,000/= Note 2 kwa 400,000/= Note 3 kwa 700,000/= Note 1 imetumika kwa miez 3 bado ni kama mpya note3 na note 2 hizi bado mpya zipo kwenye mabox...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Brand new M7 420,000 na M8 680,000 . Mpya call 0714547830
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Wasting my time here.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ndugu Wanajamvi, Sijui kama laptop huwa zina housing. Mimi natafuta housing ya Samsung Laptop 16 Inches yenye rangi ya nyeusi. Fundi yeyote aliyo nayo au kama unamjua aliyenayo anitumie picha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…