Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Km 220000 Gear 5 Haina 4wd Bei yake imepungua sahv inauzwa 7.7mln Gari bado mbichi,piga 0715591141 dar
0 Reactions
0 Replies
808 Views
Hello JF Tunafanya mauzo ya vifaa vya maofisini vilivyoisha muda wake kwa policy ya shirika letu. Vitu hivyo vinauzwa kwa pamoja na viko katika makudni mawili ICT equipments Vinginevyo kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Altezza namba C inatembea, iko vizuri bado. Haina tatizo. Bima kubwa, registration ipo kamili. Maswali na majibu yote utapata kwa simu namba 0713399109. Serious calls for serious buyers only.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TOYOTA VITZ Bei: 5,300,000 (INAPUNGUA KIDOGO SANA) Mwaka: 2000 Aina ya Mafuta: PETROL Umbali: km 156,000 Injini (cc): 990 Transmission: AUTOMATIC IMELIPIWA VIBALI VYOTE FULL AC NA MZIKI SAFI SANA...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Chumba kipo Mwenge karibu na TRA kipo ndani ya get usalama kila kitu kiko poa kodi miez 6 bei 80,000 karibuni
0 Reactions
10 Replies
2K Views
2 in 1 Plot at Kitunda Magore kwa Mpemba. Sehemu imetulia. Viwanja vimepimwa kienyeji kwa kuzingatia miundo mbinu yote especially barabara zenye upana wa 5Meters. Size, 900Sqmtrs. Bei...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
habari za jioni waungwana natafuta betri ya kununua ya Motorola droid nipo mwanza
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Nahitaji gari: Aina: Toyota Voltz, Rangi: Silver, Blue, Black ama nyingine yoyote ila sio nyeupe. Bejeti yangu : Millioni Saba. Iwe katika hali nzuri na iwe haidaiwi na TRA. Kama unayo weka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mwenye uhitaji wa used desktops computer an flat screen monitor na CPU Za IBM na HP compaq tuwasiliane kwenye whatsapp yangu 0778080031 ili tufanye Biashara. HP ina specification HDD 250 GB...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo Dar ipo poa kabisa 0774102910
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Nimeibiwa laptop na simu ya iPhone natafta mganga anayepiga ramli niweze kuzipata ..tafadhali!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeleta mkaa gunia 100, hapa dar. gunia lina ujazo wa mbavu mbili almaarufu shanga mbili. ni mkaa mzuri wa mti pori. Bei ni 45,000 kwa gunia. mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0714 407095
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mini samsung inauzwa.ina HDD 250 na RAM ni 1GB .bei ni 180k.niko dar. Mawasiliano: 0686979746
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta wateja wa jumla wa mkaa walioko Dar es salaam.Mkaa unatoka mkoa wa Lindi Karibuni tuwasiliane.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Iwe chini ya 21 inches kama kuna mwenye uelewa aniambie ni brand gan nzuri, nyingi naona picture hazipo HD. Ukinipm itakua bora zaidi, huu umeme pasua kichwa, bei iwe ya kitanzania.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau. Mimi ni mzalendo wa nchi hii, nataka kufungua taasisi ya kutoa mafunzo ya kompyuta kwa vijana wenzangu. Nataka nijulishwe duka ambalo linauza kompyuta used kwa bei nafuu ili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua Mawakala au Maduka ya jumla ya madawa ya kilimo kwa hapa Dar. Nahitaji dawa ya kuua Magugu yoyote nzuri Kariakoo sijaliona duka la jumla naona bei zao zipo juu sana ni km...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, natafuta Tv 32 inches original Samsung au LG ka affordable price. Pia natafuta housing ya Samsung Laptop NP300E5V Nitumie Picha WhatsApp 0719579733 tunegotiate price kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haijawah kufunguliw pia ina protecr ya glass ina wiki 2 tu bei 190000 pga 0714702720
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…