Habari wadau.
Mimi ni mzalendo wa nchi hii, nataka kufungua taasisi ya kutoa mafunzo ya kompyuta kwa vijana wenzangu. Nataka nijulishwe duka ambalo linauza kompyuta used kwa bei nafuu ili niknunue pc kadhaa.
Specs za kompyuta hizo ziwe kuanzia pentium IV hadi duo core na pia ziwe na vigezo stahiki yaani ram kubwa, processor na hard disk kubwa. ikiwezekana naomba nitajiwe duka na contacts zake ili iwe rahisi kwangu kuwasiliana na duka husika.
Karibuni wadau 0714-408238.
Mimi ni mzalendo wa nchi hii, nataka kufungua taasisi ya kutoa mafunzo ya kompyuta kwa vijana wenzangu. Nataka nijulishwe duka ambalo linauza kompyuta used kwa bei nafuu ili niknunue pc kadhaa.
Specs za kompyuta hizo ziwe kuanzia pentium IV hadi duo core na pia ziwe na vigezo stahiki yaani ram kubwa, processor na hard disk kubwa. ikiwezekana naomba nitajiwe duka na contacts zake ili iwe rahisi kwangu kuwasiliana na duka husika.
Karibuni wadau 0714-408238.