Pata moderms za g4 kwa wkazi wa daresalmu pamoja na routers
Moderm ni shiling 50000
Router n shiling 150,000
Kumbuka unapata offer ya gb 30 kwa miezi mitatu
Wahi ofer hii unaletewa ulipo...
Habari wana jf,hakuna haja ya kupata hasara wakati wa kuchimba kisima.kuna mtu anaweza akachimba kisima akakuta maji hakuna na akawa ameingiya gharama zisizokuwa na msingi na mwingine anaweza...
Karibuni kwa ajili ya kujitangaza kibiashara kwa wafanyabiashara mbalimbali ndani ya Tanzania na nchi jirani za Kenya,Uganda, Burundi,Rwanda na popote Afrika.+255653564636
Karibu ewe MZAZ au mlezi katika kumuandalia mtoto wako maisha yake baadae..shule ya sekondari Nyalusi inawakaribisha vijana wote wa darasa LA saba katka kujiunga Na elimu ya sekondari kwa mwaka...
Natural Graphite Ore inapatikana kutoka Simanjiro ikiwa na kiasi kizuri cha Carbon (Fixed Carbon) 90% - 95%, Moisture content < 0.5%.
Uwezo wetu wa uzalishaji ni hadi tani 100 kwa mwezi.
Bei -...
Kiwe kinatosha ujenzi wa nyumba ya vyumba vinne na eneo libakie .Huduma za barabara na umeme ni muhimu ziwe karibu.
Bajet: Isizidi 10m
Location:
Goba..mbweni..mbagala(kuu..zakhem au...
Kiwe kinatosha ujenzi wa nyumba ya vyumba vinne na eneo libakie .Huduma za barabara na umeme ni muhimu ziwe karibu.
Bajet: Isizidi 10m
Location:
Goba..mbweni..mbagala(kuu..zakhem au...
Haina tatizo lolote, iko katika hali nzuri, pia inatumia sim card pamoja na wi-fe, nimeshindwa kuaplod picha.
Kama unahitaji nitakutumia picha whatsapp, 0672110065.
Tunatoa huduma zifuatazo; - Tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita - kufundisha QT na wanafunzi wanaorudia mitihani - kufundisha wanafunzi wanaojiandaa kuingia kidato cha tano...
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile.....
(a ) miti iliyo...
Hbr kwa wote.
Kama nilivyoeleza nina gari aina ya honda airwave model 2006, very good condition.
Ninahitaji kubadilishana na kiwanja ambacho kitakuwa ni survey plot, haijalishi wapi ila kiwe dar...
Shamba lenye miti ya mbao (pines) iliyotunzwa vizuri linauzwa Njombe ukubwa ni robo heka miti ina mika 4 tokea kupandwa kwake na inategemewa kuvunwa baada ya miaka 4.Shamba lipo eneo la Magoda...
Unahitajika Mkopo Nafuu,
Kiasi kinachohitajika ni 21M.
Marejesho ni 3yrs.
Marejesho na Interest ni 24.5M
Marejesho kwa Mwaka ni 8.17Ml
Aliye willing na hizi terms, naomba tuwasiliane.
Anicheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.