Natafuta gari tajwa hapo juu number kuanzia C iwe katika hali nzuri....bajeti yangu 5 million ....0713715772
Kweli unaweza kupata kwa bajeti yako hiyo ila angalizo!!!! Sisi wabongo mara nyingi japo sio mara zote huuza vitu vyenye ubovu tayari. Sawa utanunua kwa bei ndogo lkn itakugharimu matengenezo kila siku. Ushauri wangu, ongeza ifike m7 ununua toka Japan gari ambalo litakuwa na cheti toka shirika maalumu la ukaguzi wa magari EAA, nakwambia hautajuta. Na kama huwezi wewe mwenyewe kuagiza, wapo mawakala wa kuwaagizia watu magari na bidhaa zingine, watakuchaji malipo kidogo www.kalumbilo.online
Kuanzia mwenyewe kirikuu uwe na 7.8mlnKweli unaweza kupata kwa bajeti yako hiyo ila angalizo!!!! Sisi wabongo mara nyingi japo sio mara zote huuza vitu vyenye ubovu tayari. Sawa utanunua kwa bei ndogo lkn itakugharimu matengenezo kila siku. Ushauri wangu, ongeza ifike m7 ununua toka Japan gari ambalo litakuwa na cheti toka shirika maalumu la ukaguzi wa magari EAA, nakwambia hautajuta. Na kama huwezi wewe mwenyewe kuagiza, wapo mawakala wa kuwaagizia watu magari na bidhaa zingine, watakuchaji malipo kidogo www.kalumbilo.online