Naomba kufaham wapi wanaprint tshirt kwa daresalaam maeneo ya kkoo au popote unapopafaham kwa kutumia maandish ya plastik na sio rangi? Msaada wako tafadhali
Mwenye nyumba ananidai kodi jamani na hela sina kwa sasa kuna jamaa nlimukopesha nae mambo hayajakaa vzr. Naomben ndugu zangu mnikopeshe laki na nusu ntarudisha ijumaa ya wiki lijalo
Je, unahitaji samaki Sato wabichi fresh from pond?
Unavua mwenyewe ukitaka kutoka bwawani na ukihiitaj kuvulia sawa pia.
Wanapatikana contact us 0717451771
Kwa anayehitaji kuwa wakala wa m-pesa nauza till ya m-pesa bei -Tshs 150,000/-
Mawasiliano -0656 095 909
Mahali -Napatikana Arusha
Picha imeambatishwa.
Ndugu zangu wana JF naomba ushauri,
Nahitaji kununua tairi mpya za gari yangu aina ya Escudo; size (215/75R15) kuna ambazo zimeishaa lakini kwa kweli hazikunitendea haki kabisa yaani hizi sio...
Kwa siku ya leo nawaletea ofa maalumu kabisa, Nunua selfie stick moja kwa shilingi 10000 tuu ni mpya na utendaji wake wa kazi ni 97percent efficient
piga sim namba 0786371108 sasa upate maelezo...
JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO
Jiunge na RIFARO AFRICA (RI-unitel) uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa watumiaji wa voda, tigo ,airtel na zantel.
UTAPATA FAIDA...
Toyota Corolla ya mwaka 1999 inauzwa kwa 3.5m (milioni tatu unusu tu)
ni Manual bado AC yake nzima Body na hata viti engine ni 5A cc 1498
ipo Dodoma na kwa maelezo zaidi ni PM nikupe contact za...
Nahitaji frem ya biashara hapa dar jwa ajili ya kufungua duka la mtaa la vitu muhimu. Bei yyt muhimu iwe sehemu inayolopa mwa biashara hiyo. Sasahiyi ninalo duka hilo ila nahitaji kilihamishia...