Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Heshima kwenu wakuu Nahitaji Hard Disc yenye ukubwa walau kuanzia GB500- 1Tb. Kwa yeyote aliyenayo anaweza kuni-Pm tukaongea biashara. Ahsante.!
0 Reactions
0 Replies
802 Views
0716831663 kwa kuhitaji tuchekiane kwa namba hii.... Bidhaa ni Original na chache sana, wahi bei nafuu
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Habari wakuu? Nauza turbo charger ya injini RD 28, Nissan Patrol. Mpya haijatumika. Bei ni 1.3m
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kufaham wapi wanaprint tshirt kwa daresalaam maeneo ya kkoo au popote unapopafaham kwa kutumia maandish ya plastik na sio rangi? Msaada wako tafadhali
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Mwenye nyumba ananidai kodi jamani na hela sina kwa sasa kuna jamaa nlimukopesha nae mambo hayajakaa vzr. Naomben ndugu zangu mnikopeshe laki na nusu ntarudisha ijumaa ya wiki lijalo
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Je, unahitaji samaki Sato wabichi fresh from pond? Unavua mwenyewe ukitaka kutoka bwawani na ukihiitaj kuvulia sawa pia. Wanapatikana contact us 0717451771
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei -maelewano Mahali -arusha Mawasiliano -0656 095 909
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu? Nauza turbo charger ya injini RD 28 Nissan Patrol. Ni mpya kabisa haijafungwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzigo mchache sana kwa maelezo zaidi piga au whatsapp namba 0716831663
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mahali -Arusha bei -maelewano Mawasiliano -0656 095 909
0 Reactions
0 Replies
763 Views
saa nzuri na unique.. brand ya Geneva zinapatikana. rangi nyeupe. bei 18000 contact 0755155782.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji kuwa wakala wa m-pesa nauza till ya m-pesa bei -Tshs 150,000/- Mawasiliano -0656 095 909 Mahali -Napatikana Arusha Picha imeambatishwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF naomba ushauri, Nahitaji kununua tairi mpya za gari yangu aina ya Escudo; size (215/75R15) kuna ambazo zimeishaa lakini kwa kweli hazikunitendea haki kabisa yaani hizi sio...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
mwenye gari aina ya probox nipigie, iliyoko sokoni, namba yangu 0757430913
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa siku ya leo nawaletea ofa maalumu kabisa, Nunua selfie stick moja kwa shilingi 10000 tuu ni mpya na utendaji wake wa kazi ni 97percent efficient piga sim namba 0786371108 sasa upate maelezo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JENGA UCHUMI WAKO KUPITIA SIMU YAKO Jiunge na RIFARO AFRICA (RI-unitel) uwe na kipato endelevu ktk uchumi wako, huduma hii ni kwa watumiaji wa voda, tigo ,airtel na zantel. UTAPATA FAIDA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Toyota Corolla ya mwaka 1999 inauzwa kwa 3.5m (milioni tatu unusu tu) ni Manual bado AC yake nzima Body na hata viti engine ni 5A cc 1498 ipo Dodoma na kwa maelezo zaidi ni PM nikupe contact za...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Aliishi kijiweni/mchangani Sengerema Mwanza miaka 12 iliyopita kwa yeyote anaemfahamu au anafahamu alipo ani PM pleas.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwe maeneo ya Sinza, bei isizidi laki na nusu kwa mwezi na kiwe self contained na hata kama kuna kasebule pia sio mbaya. Pls pm me
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Nahitaji frem ya biashara hapa dar jwa ajili ya kufungua duka la mtaa la vitu muhimu. Bei yyt muhimu iwe sehemu inayolopa mwa biashara hiyo. Sasahiyi ninalo duka hilo ila nahitaji kilihamishia...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…