Ikiwa unatumia fedha mara kwa mara kunyonya maji taka katika karo la nyumbani, shuleni, msikitini, ofisini na sehemu nyingine kama hizo, sasa tunaweza kuweka system itakayokufanya ukae zaidi ya...
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza hali imezidi ngumu sana nimeshindwa tu kuomba lakini nahitaji msaada wenu nauza simu yangu aina ya sSamsung s4.
Nimeitumia mda wa mwezi mmoja. Nahitaji...
Katika kuelekea msimu wa sikukuu pata line hizi za wakala kwa bei nzuri.
Tigo pesa 240,000
Mpesa 140,000
Airtel 90,000
Utapata na vitabu vyake ukihitaji .
Karbuni.
0712191251
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure na jiko. Ni nyumba mpya. Ipo Wazo Hill karibu na kwa Makamba. Kodi kwa mwezi sh 550,000. Kwa maelezo ya ziada au kuiona piga simu 0717114409
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa...
Nipo Tanga mjini,natafuta cement ya simba kwa jumla kutoka kiwandani au kwa agent.
Mwenye nayo tuwasiliane kwa 0713 724242
Mchuuzi ahitajiki tafadhali.
Habari,wakuu! kuna nyumba nzuri inauzwa Ukonga Daressalaam,ina uwanja mkubwa wa sqr mtrs 1310 na visima viwili vya kisasa vya maji ya kunywa ukuta mzuri,maeneo tulivu na yakuvutia inauzwa...
Eneo lipo Kigamboni mwasongwa lina eka 5 jirani kuna shule, Eneo inapita barabara kubwa inatoka Mitwambi.
Linafaa kwa matumizi ya Shule za bording, kiwanda nk..
Hili halina dalali
Kwa...