Nauza kiwanja maeneo ya dege Kigamboni jiran na magorofa ya NSSF....hakijapimwa ila kina mita kama 28*25. Kipo jiran kabisa na barabara. Kwa mwenye kuhitaji tuchekiane 0713806766. Bei ni milion 5...
Habari msomaji!
Natafuta kanga jike 3-5 wa kufuga. Niko maeneo ya DSM. Yeyote atakaye kuwa nao kuanzia saizi ya kati hadi wakubwa aniPM au ajibu hapa.
Nahitaji majike tu!
Habari wana Board,
Ninauza kiwanja changu chenye ukubwa wa NUSU HEKA. Kipo Mbullu nyuma ya kanisa katoliki, kimepimwa na kina offer. Bei ni Tsh 5,000,000/=.
Mwenye kukihitaji apige simu namba...
Habari wana Board,
Ninauza kiwanja changu chenye ukubwa wa NUSU HEKA. Kipo Mbullu nyuma ya kanisa katoliki, kimepimwa na kina offer. Bei ni Tsh 5,000,000/=.
Mwenye kukihitaji apige simu namba...
Habari wadau.
Chumba kimoja kinapangishwa Ubungo external.. near Mabibo hostel.
Kipo ndani ya fence na kuna geti, kuna umeme na maji DAWASCO.
Na maji ya kisima ( drilling ambayo yanauzwa...
VIWANJA VYENYE UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI KUANZIA 50 ft x 40ft VINAUZWA VIPO CHAMAZI UWANJA WA AZAM.ENEO LIMEPIMWA NA VIWANJA VINA NAMBA YA KWENDA KULIPIA MANISPAA YA TEMEKE.BEI NI MAELEWANO...
Pikipiki aina ya Skymark B2 original from india Cc125 imetumika miezi 12.
Haina tatizo lolote bei 800,000 iko Tabata Kimanga.
0717022737 kwa mawasiliano
Wadau nashukuru Mungu kwa hili, Nina 3mil natafta Gari ndogo used nzuri inayotumia mafuta kidogo angalau 17km/litre . je ni Gari aina gani itanifaa? Kwa kuzingatia gharama ndogo za umiliki wake...
Ikiwa unatumia fedha mara kwa mara kunyonya maji taka katika karo la nyumbani, shuleni, msikitini, ofisini na sehemu nyingine kama hizo, sasa tunaweza kuweka system itakayokufanya ukae zaidi ya...
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...