Habari zenu wakuu,
Kiwanja chenye ukubwa wa hekari moja chenye miembe na miti mingine kinauzwa njia ya kuelekea uponera,ni takribani 2KM kutoka bomani Mahenge.(makao makuu ya wilaya)
Eneo...
Vitu vyote vilivyomo dukani nguo,viatu nk vinauzwa bei Ni maelewano au Kama unataka kukodi Fremu peke yake bei Ni laki tatu na nusu kwa mwezi kwa miezi 6..Duka Lipo kinondoni studio.
Kwa...
Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017.
Kwa...
Nipo mwanza ninahitaji kutengeneza shamba la kama heka 3. Ningependa kulima kwa tractor. Wadau nisaidie hapa Mwanza maeneo ya Nyegezi tractor nitapataje?
habari wanaJF
Nashkuru muda mrefu umepita tangu nitoe thread yangu ya kuhusu kilimo cha michungwa inayojulikana kwa "tathmini ya mapato ya michungwa"
Nimekua nikipokea simu na message na e-mail...
Habari wana jamii forum, tunauza saa za ukutani zitumikazo nyumban ofisin na sehem nyngne nyng..!! Ni saa nzur sana, na bei zake n rahisi! zipo sample nyng sana! nimeweka tu baadh hapo chini! Kama...
GX INVESTMENT ni kampuni ambayo tunauza Pikipiki na Bajaji za kisasa kwa bei poa kuliko kote nchini Tanzania
kupitia kampuni yetu utapata punguzu la bei kwa Bajaji za kisasa TVS KING na Pikipiki...
Habari wadau.
Nina Nikon Professional Camera za kisasa nina ziuza kwa haraka bei ndogo sana.
D3300, D5100, D5200.
Atakaye hitaji aje PM au piga namba hii 0758 020250
Karibuni sana.
Bonge la Offer Kutoka Tanzania Website Experts;
Website Design ya ukweli
Domain name Registration (mwaka Mmoja)
Website Hosting (Mwaka Mmoja)
Bei ya Kila kitu hapo ni ONLY TZS 150,000/-...
Inahitajika nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili au vitatu vya kulala, sebule, dinning, jiko, car parking space, iwe na uzio. Appartment zisizozidi nyumba mbili sehemu moja au nyumba...
Shamba linauzwa. Lipo eneo la Kiguza Mkuranga, Kilometa mbili kutoka barabara kuu. Linafaa kwa kilimo na makazi pia. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa 0717 030636
UTANGULIZI
MIDUNDO ni huduma ya muziki inayompa mtumiaji nafasi ya kufurahia nyimbo kwenye simu ya mkononi muda wowote na mahali popote zikiwemo video, miziki, albamu, miito, milio pamoja na...
Kitanda cha mning cha sita kwa sita nagodoro bei 270,000
Kikabati chambao kidogo bei 90,000
Kapeti la nyoya upana futi 5,3 urefu futi 7,3 bei 280,000
Redio subwoofer Samsung bei 180,000 ila...
Dalali au mwenye nyumba naomba ni PM
-chumba, sebule na jiko (self)
-maji, luku na geti
-tiles n gypsum
-budget 150,000/-
-kuhamia ni May 1st
Negotiable pay plan
Maswali na majibu yote yaletwe PM
Habari wakuu.
Kama unaanda payroll kwa kutumia software kama VIP payroll premier na nyinginezo,
Natoa huduma zifuatazo:
1/Kuhamia mwezi unaofuatia kama payroll package inashindwa (fail to roll to...