Nauza mafuta ya Nazi asilia.
Rejareja bei ni Sh.8500 tu kwa chupa ya ujazo wa Ml.200.
kwa jumla ni 84,000 chupa 12. Unaletews ulipo kwa wakazi wa Dar.
Napatikana ubungo River side.
karibuni...
Bati aina zote rangi upandayo,kofia,na misumali.kwa bei ya kiwandani.okoa garama,jenga kwa kununua bati kiwandani.
It 4&it5(migongo mikubwa) gauge30 @8000 kwa meter
It 4&it5(migongo...
Wadau mwenye baiskeli yenye hali nzuri naihitaji kwa ajili ya dogo kuendea shule kwani mambo yangu sio mazuri kwa sasa kuweza kununua mpya.
Iwe na gia kwani huko ni eneo la milimani. Mimi nipo...
Habari za siku ya leo ndugu yangu, leo nisiku nyingine tena ambayo nawalete habari njema juu ya makazi ya mwanadamu.
Nyumba hii ina vyumba 4, jiko1, seating room1, frems 2 kwa upande wa kulia...
Nyumba ni nzuri sa kisasa zenye parking kubwa na full security. Kila nyumba ina vyumba viwili vya kulala sitting room dying room kitchen na ndani kuna kila kitu unaingia na begi lako la nguo...
Nina mihogo kwenye shamba lenye ukubwa wa heka 2 lipo mlandizi ninatarajia kuvuna mwezi wa saba ni muhogo aina ya ndope natafuta mteja atakaye nunua mihogo yote au hata heka moja sio mbaya shamba...
TRACTOR NA COMBINE HARVESTER MACHINE INAUNZWA
HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri,na inafanya kazi vizuri sana.MIL34 TSH
tractor zipo katika hali nzuri MASSEY FERGUSON 178 bei ni...
Bati aina zote rangi upandayo,kofia,na misumali.kwa bei ya kiwandani.okoa garama,jenga kwa kununua bati kiwandani.
It 4&it5(migongo mikubwa) gauge30 @8000 kwa meter
It 4&it5(migongo...
Wakuu Habari za Jioni Now Nimekuja na Biashara Nyingine Tena, Hii ni kwa wale Ambao wana hitaji Facebook Fans Page (Page ya Facebook) Ninazo 5 Tu na zote zina Likes Kuanzia 4500 Mpaka 5100 na...
Baadhi ya watoto mayatima wakifutarishwa katika Ramadhani ya mwaka jana huko Zanzibar!
Ndugu Wapendwa,
Sote tunaifahamu hali ya maisha duni wanayopambana nayo baadhi ya watoto mayatima kule...
Ndugu mteja, Nyumba hii inapatikana maeneo ya Chamanzi Dovya kwa Mzara jijini Dar es salaam. Kwa gari ni 10dk kwa speed ya 30kmp/hr kutoka Mbagala Rangi tatu hadi eneo ilipo nyumba hii.
Nyumba...