Toshiba satellite L455D
Harddisk 160_GB
Ram 2_GB
Processor_AMD Sempron 2.1Ghz
Display_ATI Radeon 3100 Graphics
DVD RW Rom
Battery_2hrs
ina mstari mdogo wa njano kwenye screen na inatumia external...
Wakuu kuna Kiwanja kinauzwa Mbezi Luisi 20 X 20, sehemu safi sana,
Mwendo wa dk 16 kwa mguu kutoka kituo cha Mbezi mwisho kwenye barabara kuu ya Morogoro.
Kipo kwenye njia ya kuelekea Kawe...
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion pungufu mnaongea, viko eneo la makazi sehemu nzuri, umeme upo, maji yapo na barabara nzuri.
Kwa taarifa zaidi piga#0653367580
JISAJIRI NA UINGIZE KIPATO
1:Jisajii bure kwenye website ya icharity club
iCharity Club - Registration
2:Changia sh.50,000 ili uji upgrade uingie daraja la 1
3:Waunganishe watu 5 ambao...
Eneo:TungiKigamboni/Dar Es salaam opposite na Shule Ya FRAY LUIS AMIGO
ukubwa wa eno: 600 SQM
Bei:tsh 90,000,000 (Tshilingi Mil 90)
Mob: 0718295182 niko watsap pia
Negotiate:Yes
Sifa:haijapaliwa/...
Kwa yeyote anayejiandaa kufungua biashara ya duka hususani la nguo au vipodozi ninauza displaying boards 2 ukubwa 4*8 tsh 130,000/= zote mbili(utapewa na hooks 40 bure) showcase ya Aluminum ya...
Pamekua na changamoto kubwa sana ya usafiri hasa ikikaribia kipindi hiki cha sikukuu, hivyo mimi kama mmiliki/mdau wa chombo cha usafirishaji natoa ofa ya kukusaidia kupata usafiri wa pale...
Nauza Accessories za Computers na kutengeneza Pc, Accessories ni mpya na used kama inavyoonesha katika picha.Naweza kukuletea ulipo kama upo Dsm.ofisi ipo Dsm Bussiness Centre-Machinga Complex...
Power banks za solar na za umeme zinapatikana kwa order. Bei 35000/= kwa powerbanks za solar, bei ya jumla 28000/=. Na zakawaida ni 30000/= zina sehemu mbili za kucharge simu mbili kwa mda mmoja...
Wakuu salama!
Natafuta mbia ninayeweza kufanya naye ufugaji wa kuku, nguruwe au kilimo cha green house. Mimi natoa eneo, Dar es Salaam, Tegeta Wazo.
Yeye anakuja na mtaji wa kuinvest