Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Vehicle Diagnostics Machine For Sale Mwanza 694762 |694762
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Toyota Progres hii gari nimetokea kuikubali sana, lakini sijui upatikanaji wa spare parts zake ukoje na fuel consumption zake sijui ukoje .. Kwa mwenye kuijua naomba anipe darasa kidogo maana...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
WANAJAMII INCUBATOR ZA UMEME , AUTOMATIC , MULTIFUNCTION KWA MAYAI YA AINA YOYOTE KUNZIA MAYAI. 164-1064 PAMOJA NA KINU CHA KUPONDEA CHAKULA CHA KUKU BEI YA KINU NI 2M INCUBATOR YA 1064 NI 2M...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wana JF nauza machine ya kutengeneza chakukula cha ukubwa wa mixer ni tani moja na nusu,imetumika muda wa mwezi mmoja ina kila kitu Mzani,machine ya kushonea magunia,circute breakers zake zote...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
For any school which demand MATHEMATICS TEACHER please concern with me Phone No; 0719202903 or 0712801265 Location; Kibaha-Pwani (Iam ready to work any region) Status; Student teacher who pursuer...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi nataka kununua mashine ya mbao inaitwa ( lumber pro 48",) imetengenezwa na cleereman industries. Lakini tangu mwezi jana nimetafta njia yeyote imeshindikana na e mail hazijawahi...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Haidaiwi imelipiwa kila kitu na haina tatizo lolote, ukichukua ni kudrive tu bado mpyaaa. Bei 11mhaina maelewano. contact 00689315582
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama kawaida VUNJA BEI, nauza cheap....Huawei P8 4G Lte version mpyaaaa Gold Color, internal storage 16GB+3GB ram... Price: 580k. Pia nina Smartphones nyingne ambazo ni Top best on Mobile Market...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Imeingia bandarini 11/July/2016 Haijatumika Hapa nchini Registration Year: 2003, Mileage 92000km, Displacement: 1300cc, Transmission: Automatic, Fuel: Petrol, Exterior Color: Silver. Bei Tshs...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Je,unahitaji kupata wateja faster kwenye biashara yako??Tangaza sasa na MASWAYETU BLOG upate mafanikio mazuri na makubwa kwa bei nafuu. Sifa za blog hii kama upo interested nicheki watsup...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Kama unanunua , au unajua mtu anayenunua vyuma chakavu njoo inbox ... Akiwa Zanzibar itakuwa vizuri zaidi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello. Kama unaijua The Innovation House Brand basi utajua ni nini ninachozungumzia. Kwa wale waliopo instagram account hii ya instagram @theinnovationhouse2014 mtakuwa mnaijua kama hujaijua basi...
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Habari wana JF Natahitaji kununua Generator ya Caterpillar yenye uwezo kuanzia 5KV na kuendelea, iwe mpya au yeyote anayefahamu inapatikana wapi naomba anifahamishe. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajasiriamali habari zenu! Naomba mnipe ushauri nna rafiki yangu dubai kaamua kunisaidia kwa kunipa ofa nichague vifaa au mashine ya kufanyia kazi. wakati bado nafkiria na nyie naombeni mawazo...
0 Reactions
8 Replies
992 Views
Original...! Portable External Usb Hard Drives for sale...For data storage e.g. movies, music, pictures, work files..etc Will add movies for you at an agreed small extra charge...! 2Tb.......Tsh...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
Wadau mbali na maduka haya mawili yanayouza camera Al Muntazir la Kisutu na Jumbo la Benjamini Mkapa Tower posta ni wapi ambapo naweza kupata camera mpya bila lensi aina ya Canon 5D MIII na kama...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Ni gari la mwaka 2002, Halijatumika sana maana sikai nalo mkoani naliacha DSM, Rangi ya siliver, limetembea Km 97,000. Ni automatic na lina milango mitano. kwa mnunuzi aliye serious tuwasiliane...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Dar es salaam Mbezi juu unaingilia Makonde au barabara ya Goba. Nyumba ya vyumba 2 , sitting room , jiko, bafu, choo na ni fenced. Luku inajitegemea maji kuna tank juu la kujaza. Bei laki2 kwa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Rav 4- (2001) Km -94500 Bei- Tsh.11.5m Gari ipo Arusha Ipo katika hali nzuri,haijawahi kupata ajali. Mawasiliano kwa anayehitaji njoo PM.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Fungua account hapa ili uweze kufanya online bisiness ambapo itakupatia ATM CARD YAKO YA MASTER CARD kutoka payoneer itakayokuwezesha kufanya online business yaan biashara ya kimtandao kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…