Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
Heshima kwenu wakuu!
Naomba kujua kama kuna mtu au kampuni inayokodisha helicopter (Chopa)
Naomba kujua gharama zake na idadi ya seat.
Chopa inategemewa kutumika kupita juu ya mlima Kilimanjaro,ni vema ikiwa Arusha au Moshi kwa urahisi na kuokoa gharama.
Mawasiliano 0752489529
Naomba kujua kama kuna mtu au kampuni inayokodisha helicopter (Chopa)
Naomba kujua gharama zake na idadi ya seat.
Chopa inategemewa kutumika kupita juu ya mlima Kilimanjaro,ni vema ikiwa Arusha au Moshi kwa urahisi na kuokoa gharama.
Mawasiliano 0752489529