Habari wadau
Nahitaji water pump machine aina ya Honda yenye:
Capacity to pump water per minutes
Horse power :
Pump Inc size:
Engine type:
na bei gani na je naweza kupata wapi wanakouza au...
Hi all,
Bado tuna nafasi za kutosha kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama...
Habari za leo, naomba ushauri wenu kunijulisha maduka mazuri ya tiles yanayopatikana Dar es Salaam.
Nahitaji medium and high quality tiles na sio Chinese tiles.
Nakama kuna mtu anamjua fundi...
Kama ulikua unatafuta au unahitaji kiwanja Dodoma mjini Usipitwe na hiii Bei yake nafuu haijawahi kutokea
Sehem :Makuru karibu na Barabara
Bei:Maelewano lakini n nafuu Sana
Ukubwa:Kinaukubwa...
Dollarnize.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
Piga mkwanja ki digitali
Cha muhimu fungua link apo juuu
Changamka kijana
Jana nilipata laki 5
Wewe unangoja nin?
KIZURI KULA...
Kama wewe ni msanii wa kuigiza ama kuimba na unahisi ndoto zako hazijatimia Muda wako umefika wa kutimiza ndoto zako!!
Karibu Moo Entertainment Utimize ndoto yako sasa
Mawasiliano zaidi 0658644485
Wakuu nahiyaji simu aina ya Tecno Y6 ofa yangu ni 90,000 - 100,000 iwe used na iwe kwenye hali nzuri, nipo Dar es salaama, mwenye nayo anichek kwa 0713415537
System zetu za SOLAR ni za kisasa na tunazingatia ubora wa vifaa tunavyofunga.
Unapatiwa warranty ya kutosha hadi miaka 10.
TUNAFUNGA MIKOA YOOTEE TANZANIA
Tupo Sinza kwa Remy Dsm
Tufollow...
System zetu za SOLAR ni za kisasa na tunazingatia ubora wa vifaa tunavyofunga.
Unapatiwa warranty ya kutosha hadi miaka 10.
TUNAFUNGA MIKOA YOOTEE TANZANIA
Tupo Sinza kwa Remy Dsm
Tufollow...
Habari wanabodi.
Kuna taarifa ningependa kuzithibitisha kabla sijafanya maamuzi, hawa jamaa wanajiita PEAGAS na wanasema wanafanya kazi kwa niaba ya CDA Dodoma maana wameingia mkataba na kile...