Karibu ORIFLAME ujipatie bidhaa bora za urembo zitokanazo na mimea asili na matunda,hutojuta kutumia..
Tuna makundi manne ya vipodoz
1.) Skin care - hii inahusika na vipodoz vyote vya uson...
Nafasi za masomo ya Pre – form one
Uongozi wa (T.A.C) unawatangazia wazazi wote kuwaleta watoto wao waliomaliza darasa la saba ili kuwapatia mafunzo yatakayowaandaa kuanza elimu ya sekondari...
Salaam wana JF. Naomba mwenye uelewa wa maduka yanayouza kengele za getini. Kengele zenyewe ziwe za kuonyesha picha kwenye screen ambayo imeunganishwa na hiyo kengele ukiwa ndani. Kwa ambao...
Habari zenu, heri ya Jumapili.
Napenda kufahamishwa kwa mtu anaewajua mawakala wa kutafuta scholarshp abroad. Kuna siku niliona kipindi cha mahojiano ITV au Channel ten sikumbuki vizuri. Alikua...
​:peep: WAKUU HABARINI...NATAFUTA NYUMBA ILIYOJIFICHA MAENEO YA MIKOCHENI B,NYUMA YA TANESCO MIKOCHENI,MBEZI BEACH,,,NATAKA NIFUNGUE BIASHARA YA MASSAGE HIVYO NDO MAANA NATAFUTA NYUMBA...
Tupo mbeya., tuna jishughulisha na decoration za kwenye nyumba za kuishi., hotel n.K mfano wa sample zenyewe ni hizo zinazo onekana kwenye picha., Kwa mawasiliano Zaid nichek 0718930097., 0753422844
Xbox 360 na Playstation 3 zinauzwa.
Zote ni used ila zipo kwenye condition nzuri sana.
XBOX ni 380000
PS3 .....320000
Maongezi yapo.
Kama uko interested piga,txt au watssap #0654890861
Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk...
Its is Tanzania currency
1. Shilingi 5 of 1978 (Mbele ina Mwalimu Nyerere na reverse ina trekta) ni ya SILVER.
2. Noti ya Shilingi 100( Ina picha ya Masai ameshika mkuki, redio, ng'ombe na mbele...
Naomba mawasiliano kwa yeyote aliye wahi kusoma chuo cha selikali za mitaa hombolo Dodoma hivi karibuni.au kwa anaye kifahamu vizuri namba yangu ni 0752006344.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.