Habar zenu wakuu humu ndani...Kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu ajira nmeamua kuuza simu yangu ambayo nmetumia mwezi tu ili nipate mtaji wa kuanza biashara.
Habari zenu wote,
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Nahitaji mayai ya kanga. Kwayeyote yule alonayo tuwasiliane. Nayahitaji kwaajili ya kuangilisha vifaranga wa kanga. Namba za simu 0716548250
I have a Diploma in automotive engineering working at Toyota Tanzania in Dar es salaam.
I am doing the following services in vehicle such as engines and gearboxes repair,services and maintenance...
Tupo Dar na mikoani tunafanya delivery,
viatu vya kike kwa vya kiume vyote elfu 25
scarf zenye matobo elfu 18, zisizo na matobo elf 23
ponchos elf 25 zote!
Karibuni
Mzigo wa viti vya saloon...(baber chair).. Umewasili. Viti vizuri na imara na bei yake ni poa kabisa kwa kua tunauza kwa bei ya jumla godown. Tunawauzia watu wenye maduka kwa bei ya jumla. Hata...
Habari,
Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia).
Nawasilisha
Kama unahitaji Powerbank na huna uhakika ipi ni nzuri na yenye kukaa nachaji ki uhakika..nitafute nikuuzie...Bei Tsh. 25,000...#Cap:30,000Mah
Looking to purchase a #powerbank and not sure which...
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
Nahitaji M'MBWA mdogo , umri Kati ya wiki 4 hadi 6, Mbegu kubwa inayofaa kwa ulinzi. Tafadhali mwenye nao awasiliane kupitia no 0714 920195/ 0784386474.
BORESHA yazindua platform ya maoni ya wateja kwa makumpuni mbali mbaali hapa nchini
Dhumuni la mfumo huu ni kusaidia makampuni,Brands ,taasisi na sector mbali mbali kuwa na uwezo mkubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.