Nimeamua kuupgrade na kukimbia jiko la mkaa kwa kununua jiko la gesi.
Bei ya mtungi mpya wa gesi na gesi yake ni bei gani?
Ni vitu gani vya ziada natakiwa kununa?!
Wadau, amani iwe kwenu. Nimekuwa nikiwaza muda mrefu sana juu ya kutengeneza software.
Mimi si mtaalam wa IT ila nitakuwa natoa 'input' kwa huyo mtengenezaji (maana hii software ni eneo langu la...
Kiwanja kinauzwa Kigamboni Gezaulole Magengeni. Kina ukubwa wa 12.9mx27.3m. Kipo karibu na barabara ya lami..
Kimezungushiwa ukuta wa course 4 na kuna kisima cha maji kilichojengewa.
Bei 13M.. kwa...
Nunua bati aina zote toka kiwandani,ubora uliothibitishwa.
Tuna maabara ya kukupimia ubora wa bati,uimara wa bati na uzito wa bati na kudumu kwa rangi. Utapata punguzo kulingana na run meter...
Kiwanja kidogo kinauzwa Bulola, Buswelu, Mwanza.
- Kipo karibu na St. Helen English Medium Primary School. Kabla ya kuingia centre ya Buswelu.
- Vipimo: 12x26m.
- Documents zote za jiji zipo.
-...
Yako mabasi mengi yanayoenda Arusha na Moshi kutoka Mwanza, Geita, Kahama. Ila Mghamba ni mabasi ya uhakika. Ingawa cyo luxury mengi yake, lakini ukisafiri na Mghamba unakuwa unasafiri kwa uhakika.
Salaam wana JF.
Kiwanja kinauzwa, kipo Tegeta nyuki kina ukubwa wa square metre 800, Hati ya kiwanja na document zote zipo, huduma za umeme na maji pia zipo kwa jirani tu.
Eneo: Tegeta nyuki...
Ninauza simu tajwa hapo juu iliyotumika kwa miezi 3 na wiki 2 tu na ninakuuzia pamoja na fast charger yake
Kwa bei ya tsh.950000 tu.
Wasiliana nami kwa simu namba.0756169666 na whatsapp pia kwa...
I-MAXX is a unique car care product. it bring fuel economy and improve ovearall vehicle perfomance by stabilizing and maintaining working environment for all electronic parts hence engine...
Habar wana jf, naiman sote ni wazima wa afya na tumain langu wengi wetu tunapenda kupata mafanikio kwa biashara na zetu so kwa upande wa biashara ya nafaka tunatoa ushaur na connection za wap...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.