Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta coin za kijeruman na south africa south rhodesia kama kuna mtu anazo tuwasiliane kwenye numba 0766090956 ntalipa pesa yoyota anayotaka wakuu naomba msaada wenu
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Mwenye utaalamu wa kunijengea bwawa la kufugia samaki kisasa. niko Moshi Vijijini 0765604750
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza 1. Rapitest digital soil test kit. bei 250,000 2. 4 in 1 soil survey instrument. Tuna sale malum kwa sasa na bei ni ya punguzo Tsh 85,0000 VYOTE 1 & 2 vipo Dukani Dsm Magomeni.(vimebaki...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
mwenye navyo ani inbox
0 Reactions
6 Replies
2K Views
UPDATES: Bei ya punguzo kumalizia mzigo ni 110,000/= CHANGAMKIA offer hii. huwezi pata popote bei hii. LIMA KISASA wewe Mkulima.Kifaa cha 4 in 1 Soil survey Instrument kinapima...
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Kwa wafugaji wenzangu wa mbwa, kama una supplier wa mchanganyiko mzuri wa chakula cha mbwa tafadhali nisaidie contacts zake. Kama wewe binafsi ni mtengenezaji naomba uni-PM hapa nijue kwa kifupi...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Je unafahamu sio lazima uwe na shamba au eneo kubwa au kuwa mkulima kujipatia mboga mboga za majani nyumbani? Kujitengenezea kipato cha kila siku n.k ? Tembelea www.balton-tanzania.com ili upate...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mpya, inachanganya na kukoroga Mpaka kilo 25. Nahitaji 1,800,000/= mpya 0714363793
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natafuta Kiwanja nataka kujenga, maeneo tajwa halo juu. Ila visiwe maeneo ambako yanapitika na tingatinga La Magu. Asanteni.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Product Highlights Model: 43LF540 *Multi-System Compatible *Full HD (1920 x 1080) Native Resolution *LG Triple XD Engine *2 x HDMI / 1 x USB / 1 x Component Video *Audio, Video, and Photo...
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Mda mwingne gharama za ujenz huwa sio kubwa kama inavyodhaniwa mara nyingi watu wengi wamekuwa wanauziwa vitu kwa gharama zisizo sahihi hii ni pamoja na kuwaamini mafundi ambao wamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 4s for sale Original and Full accessories(No Box) 16GB Internal Storage Black and White colours are available Price 270,000 Contact 0784780955 or 0718942311(whatsap)
0 Reactions
0 Replies
536 Views
Brandnew IPhone 5 for sale Full accessories(No Box) 16GB Internal Storage Colours available are Space Grey and Silver Price 430,000 For Space Grey Price 440,000 For Sliver Contact 0784780955 or...
1 Reactions
0 Replies
382 Views
Salam wadau...nauza mashine ya kunyonyolea kuku manyoya,nimeitumia kama mara 3 tu..inatumia umeme na inanyonyoa kuku 8-10 kwa sekunde 30.Bei ni laki 5.Karibuni sana.0689900000
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Nauza simu htc A9, imetumika miezi 4 tu. Bei 800,000/- (negotiable) Serious buyer pls PM me!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau, Kuna rafiki yangu anauza Shamba lake Mlandizi la heka 10. Kutoka lami ya Morogoro Road pale mlandizi mjini ni Kilometa 8 upande wa kushoto kama unatokea Dar es Salaam. Anauza lote kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nauza Nyumba kwa bei poa kabisa, kuanzia milioni 15, 20, 25, 30, 40, 50......200. Kwa maeneo ya CHAMAZI. Swali lolote unaruhusiwa kuuliza na utajibiwa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cc 990 Km 9956 0713715772 Gari ipo katika hali nzuri kuna uhitaji wa pesa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu! Kuna fenicha zifuatazo zinauzwa 1. Meza za kisasa saizi ya kati mbili (2)@200,000Tshs 2. Viti vya kuzunguka vya plastiki na kitambaa rangi nyeusi viwili (2)@130,000Tshs 3. Viti vya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Noah SR40 ya mwaka 2001, inauzwa bei chee. Gari iko vzr sana sawa na mpya, ina tires mpya, sport reams safi, alarm system, seat covers, heavy music system. Gia fupi, cc 1990, metalic black na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom