Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

habari wana JF mwenye kujua bei ya Samsung Note 7 Samsung Note 5 naomba anijuze
0 Reactions
0 Replies
684 Views
jamani nahitaji mota kwa ajili ya kupigia msasa viatu vya kimasai mimi nipo dar mfano wa viatu ni hivyo hapo.
2 Reactions
5 Replies
5K Views
2GB RAM 16GB internal storage capacity 5.5 inches screen Colour -black 2600 mAh Li-Ion 13 mp led flash back camera 5mp with led flash front camera Ina warranty ya mwaka mmoja,imetumika miezi 4...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar zenu wana JF, Natafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba vyumba 3,choo&bafu, jiko na dining na sitting pia kibaki na nafasi ya parking na garden. Kiwanja kiwe maeneo yoyote ya Dodoma au Mwanza
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hii mashine haijawahi tumika ni mpya...inaingia kuku 30 na ukawa grill(kuwachoma) Inatumia gesi...... KwA mawasiliano 0715 591141 dar Bei yake inauzwa 3,000,000/ Karibuni
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu heshima zenu.Nyumba inapangishwa maeneo ya mbezi Msakuzi njia ya mpigi magohe.Ipo kwenye hatua za mwisho za ujenzi.Ina vyumba 3; dinning; sebule; jiko; master moja self na public toilet.Pia...
0 Reactions
0 Replies
459 Views
NYUMBA inauzwa ipo kinondoni B nyuma ya mahakama mtaa wa msisiri milioni 70.Maelewano yapo ina vyumba vitatu ndani na sebule na inamabanda ya uwani.Haina hati ila inakibali cha serikali za mitaa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimeona niwakaribishe kwenye hii kampuni ya aina yake inayofanya biashara ya mtandao. Mtanzania wa kawaida kabisa unakaribiahwa kwenye hii fursa. Waliowengi watakupa negatives kuhusu hii biashara...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Yard inapangishwa Kurasini, karibu kabisa na Bandarini. Ina eneo la sqm 3300. Bei ya kuanzia ni $ 7000kwa mwezi lakini tunaweza kuongea. Tuwasiliane binafsi kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habari, Ninatoa huduma ya kutafuta na kuandaa samaki wabichi na kutuma kwa walio mikoani, nipo Musoma. Kwa anaeitaji anicheki (inbox). Wanakuja wakiwa wameganda. Sato na Sangara wanapatikana...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau, salaam? Yawezekana umefungua kampuni au biashara yako au una mpango wa kufungua biashara na unahitaji kuifanya kitaalam yaani kila kitu kwa maana ya mifumo kuwa sawa sawa. Mfano...
0 Reactions
0 Replies
542 Views
Nauza nguo za mtumba za wadada grade one kwa bei nafuu niko philips arusha, 0762998333 Instagram divine_clothing _store _
1 Reactions
0 Replies
795 Views
nahitaji bati za rangi geji 30.Rangi yeyote pcs 90, kwa wale wa maeneo ya Dar, pwani ,moro, na arusha. nipigie kwa 0686958013
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Ni aina ya SANYO BTU 12 HORSE POWER 1 Na robo. text 0755-544219 bei 900,000/= kila moja. zipo sinza.
0 Reactions
0 Replies
779 Views
habari wadau.. natafuta mtaalamu wa kutengeneza biosand filter local.. au slow sand filter. itakayoweza kutreat na kuzalisha lita 1000 per day. wote mnakaribishwa mnaoweza..
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Poleni na majukumu wana Jf kama nlivyosema hapo ju kwenye kichwa cha habari natafuta gari aina ya Noah na iwe na usajili wa namba c,d, mi nipo dar es salam Natumain kupitia hapa Jf nitafanikiwa'...
0 Reactions
5 Replies
960 Views
Kama una replacement yake itafaa piah. Simu 0712687590 Replacement spark plugs for NGK B8HS-10: Brand Model AC Delco 41F Accel 156 Autolite 4092 Autolite XS4092 Bosch...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Back
Top Bottom