Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

sasa ukisema ukweli unakamatwa na unafungwa, hakika tunarudi nyuma miaka 50!
0 Reactions
0 Replies
719 Views
BORESHA yazindua platform ya maoni ya wateja kwa makumpuni mbali mbaali hapa nchini Dhumuni la mfumo huu ni kusaidia makampuni,Brands ,taasisi na sector mbali mbali kuwa na uwezo mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Habar zenu wakuu, nauza printer ya color bei ni 550000/= call 0755661541
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Samahani wana jukwaa naomba mnisaidie kwamba kati yaJiji la Arusha na Jiji la Mwanza wapi unaweza kupata laptop mpyaa kwa bei nzuri
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Nauza line ya tigopesa mwenye kuhitaji anicheki PM bei 300,000 maongezi kiduchu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
NAUZA LAPTOP AINA YA DELL RAM 4GB PROCESSOR ;Intel(R) celeron(R) 2957u SYSTEM TYPE:64-bit operating system HARD DISC:500 GB BEI NI 350,000/= HAINA HATA MCHUBUKO IKO VIZURI SANA KAMA UNAHITAJI NI PM
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam..nahitaji kuprint bahasha za A4 na ndogo pamoja na files (case) kwa Logo ya ofisi...Kama kuna mtu anafanya hii pls nitext kwa namba 0689900000.Asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mpya kabisa/brand new.!!! Details na Specifications zake ni kama ifuatavyo...!!! 1gb RAM, Dual Sim Card, SD Memory Card Slot, Bluetooth, Wi-fi, 2megapixel front/back camera, 16Gb storage...
0 Reactions
3 Replies
939 Views
Linapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe, Zipo hekali mia moja na hamsini na bei kwa kila heka ni tsh laki moja tu Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nipo dar alienayo anijuze. Bei isizidi milion 10
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi muishio morogoro natafuta Kiwanja cha makazi morogoro kwa mawasiliano zaidi 0752731391
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima kwa wote. Nnarafikiyngu anatafuta pikpik aina San lg used kw mwny nayo naomb anitafute pm tuelewane bei.iwe katika hali nzuri isiwe imetumika zaidi ya miezi sita. Karibuni!
0 Reactions
3 Replies
891 Views
Kina ujazo wa sq 645 kina title deed mil40 tu 0654347423 sawasawa?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa sq metre 486 yani urefu 27 upana 18 bei ni 15 mill maongezi yapo kipo mita 900 toka ilipo stand ya daladala ya TABATA segerea hakijapimwa ukihitaji wasiliana nami kwa...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Meza ya kuwekea desktop computer sh 120,000 kiti cha ofisini sh 150,000/= wahi mapema kabla havijawahiwa.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Natafuta nyumba ya Kuishi Mji mdogo Gairo vyumba viwili self contained tiles,fenced aluminium window water system tank reserve contact0654347423 ok?
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Line hizo zinauzwa kwa bei nafuu. call 0656219778
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Back
Top Bottom