Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Nahitaji kujua gharama ya wire husika hapo juu na pia urefu na upana wa huo wire (Namaanisha zile wire za fensi zenye vibox vidogo vidogo ambavo vinazuia hata kuku kuingia). Nawasilisha
1 Reactions
17 Replies
16K Views
Nauza laptop used aina zote kuanzia Tsh 250,000 na kuendelea. Tupo Kariakoo. Call 0675531833, ujipatie laptop uipendao kwa bei nafuu kabisa.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama unahitaji Powerbank na huna uhakika ipi ni nzuri na yenye kukaa nachaji ki uhakika..nitafute nikuuzie...Bei Tsh. 25,000...#Cap:30,000Mah Looking to purchase a #powerbank and not sure which...
1 Reactions
2 Replies
844 Views
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nahitaji M'MBWA mdogo , umri Kati ya wiki 4 hadi 6, Mbegu kubwa inayofaa kwa ulinzi. Tafadhali mwenye nao awasiliane kupitia no 0714 920195/ 0784386474.
0 Reactions
3 Replies
776 Views
sasa ukisema ukweli unakamatwa na unafungwa, hakika tunarudi nyuma miaka 50!
0 Reactions
0 Replies
712 Views
BORESHA yazindua platform ya maoni ya wateja kwa makumpuni mbali mbaali hapa nchini Dhumuni la mfumo huu ni kusaidia makampuni,Brands ,taasisi na sector mbali mbali kuwa na uwezo mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Habar zenu wakuu, nauza printer ya color bei ni 550000/= call 0755661541
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Samahani wana jukwaa naomba mnisaidie kwamba kati yaJiji la Arusha na Jiji la Mwanza wapi unaweza kupata laptop mpyaa kwa bei nzuri
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Nauza line ya tigopesa mwenye kuhitaji anicheki PM bei 300,000 maongezi kiduchu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
NAUZA LAPTOP AINA YA DELL RAM 4GB PROCESSOR ;Intel(R) celeron(R) 2957u SYSTEM TYPE:64-bit operating system HARD DISC:500 GB BEI NI 350,000/= HAINA HATA MCHUBUKO IKO VIZURI SANA KAMA UNAHITAJI NI PM
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam..nahitaji kuprint bahasha za A4 na ndogo pamoja na files (case) kwa Logo ya ofisi...Kama kuna mtu anafanya hii pls nitext kwa namba 0689900000.Asanteni sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mpya kabisa/brand new.!!! Details na Specifications zake ni kama ifuatavyo...!!! 1gb RAM, Dual Sim Card, SD Memory Card Slot, Bluetooth, Wi-fi, 2megapixel front/back camera, 16Gb storage...
0 Reactions
3 Replies
929 Views
Linapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe, Zipo hekali mia moja na hamsini na bei kwa kila heka ni tsh laki moja tu Kwa mahitaji wasiliana nami kwa simu namba 0764426929,0655726929 na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nipo dar alienayo anijuze. Bei isizidi milion 10
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi muishio morogoro natafuta Kiwanja cha makazi morogoro kwa mawasiliano zaidi 0752731391
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima kwa wote. Nnarafikiyngu anatafuta pikpik aina San lg used kw mwny nayo naomb anitafute pm tuelewane bei.iwe katika hali nzuri isiwe imetumika zaidi ya miezi sita. Karibuni!
0 Reactions
3 Replies
881 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…