House4Sale Nauza nyumba

ibuo

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
464
438
Nauza nyumba iliyopo g.mboto-ulongoni A iko vizur umeme,maji,vyumba vinne vya kulala,sebule,jiko,store,bei milioni 35,contact 0717000650
 
Nauza nyumba iliyopo g.mboto-ulongoni A iko vizur umeme,maji,vyumba vinne vya kulala,sebule,jiko,store,bei milioni 35,contact 0717000650
1471182418824.jpg
 
Duhhh,aisee hiyo nyumba ua Banda?
Halafu subiria manispaa waje,maana unachafua mazingira,hata shimo la choo cha maji ya bafu hakuna,badala yake umetoa Tundu nje,mabati yanatofautiana
Halafu umezuiliwa kuingia ndani ya nyumba umepiga picha kiwizi wiziiiiiiiii
 
Duhhh,aisee hiyo nyumba ua Banda?
Halafu subiria manispaa waje,maana unachafua mazingira,hata shimo la choo cha maji ya bafu hakuna,badala yake umetoa Tundu nje,mabati yanatofautiana
Halafu umezuiliwa kuingia ndani ya nyumba umepiga picha kiwizi wiziiiiiiiii
 
Duhhh,aisee hiyo nyumba ua Banda?
Halafu subiria manispaa waje,maana unachafua mazingira,hata shimo la choo cha maji ya bafu hakuna,badala yake umetoa Tundu nje,mabati yanatofautiana
Halafu umezuiliwa kuingia ndani ya nyumba umepiga picha kiwizi wiziiiiiiiii
dahh jamaa una dharau sana
 
Wakuu kwa mwenye kutaka kiwanja bei kuanzia milioni 3.5 maeneo ya mbagala vikindu piga Simu 0713 632 207
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom