Bei tsh mil 16.5
1.plate number T675-DGA
2.Ya mwaka 1999
3.imetembea km 106,000
4.ina CC 2900
5.ipo katika hari nzuri
6.engine ni 6 cylinder lakini ni VVTi ambayo sawa na 4 (wanaojua magari...
Wakuu salaam
Kwa mwenye uhitaji na Tikiti maji
Zipo F1 pundamilia ujazo wa nguvu shamba lipo Mwadui shinyanga karibu na senta ya maganzo.
Nipigie 0765021800
Au pm
Karibuni sana
Destiny Business limited ni company inayotoa huduma ya kutengeneza car parking shades za kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani, ofisini ,hotelini nk. Ofisi yetu ipo Sinza...
1000watts
Smart
Full HD Up-scaling
Premium content
Wireless Audio Streaming via Bluetooth
USB Direct Recording & Playback
3D Playback
LG Apps
Wired(Ethernet)
External HDD Playback
price: 780,000...
Kushirikishana mitonyo siyo vibaya, kampuni ya simu ya Itel kwa kushirikiana na VodaCom, imeanzisha promosheni inayokwenda kwa jina la #SmartGulio pale Mlimani City Dar es Salaam ambapo mtu...
Wakuuu nyumba Hii Ina uzwa mbagala kuu Ina vyumba 3, sebule , dining room na choo cha ndani na stoo .... BEI-MILION 60...,,wasiliana na mm PM picha Zina kataaa ku upload so Kama uko interested uta...
Destiny Business limited ni company inayotoa huduma ya kutengeneza car parking shades za kisasa na zenye ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya nyumbani, ofisini ,hotelini nk. Ofisi yetu ipo Sinza...
Nyumba ya vyumba vitatu, kimoja ni master bedroom yenye choo na viwili ni bedrooms vya kawaida na dinning and seating rooms pia kuna choo kimoja cha kushare pamoja na store ndogo.
Ukubwa wa eneo...
Ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure, sehemu ya kupatia chakula na uzio. Ipo katika mitaa iliyopimwa na kupangiliwa vizuri maalumu kwa makaazi. Bei Tshs 150mil. Kuiona au maelezo ya ziada...
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa mikocheni B karibu na kanisa la Assemblies of God mlima wa moto, bei 200m, mazungumzo yapo. mawasiliano piga simu namba 0755 092 734 au whatsapp 0754 810 853
Hello wandugu,
Natafuta watengenezaji na wauzaji wa sofa za kisasa zilizotengenezwa kwa leather kwa matumizi ya nyumbani. Bei iwe reasonable. Mwenye namba ya muuzaji au anayetengeneza mwenyewe...
Nafasi za Kidato Cha Kwanza kwa wasichana: Westgate Girls
Westgate Girls ni shule ya wasichana ya bweni tu, shule imesajiliwa na wizara ya elimu kwa namba S.4948 iliyopo Kibaha Misugusugu...
Habari wadau, mm ni mfanyabiashara wa Mbao ndefu na fupi aina zote(treated & untreated), Milunda, Mabanzi na Nguzo mbalimbali hadi zinazotumiwa na Tanesco na TTCL.
Ninauza kwa Jumla na...
Ina vyumba vitatu mojawapo ni self contained, zipo nyumba tatu kwenye compound moja, pamezungushiwa ukuta, bei ni tshs 400,000 kwa mwezi, jinsi ya kulipia ni maelewano. Ni-PM kwa maelezo zaidi.
HABARINI WANANDUGU
Nilikua naomba msaada wa kujua vitu vifuatavyo:
njia za kupata banda kwa ajili ya kuuza bidhaa gharama za banda kipindi cha maonyesho na idadi ya wafanyakazi unaopaswa kua...
natafuta chumba cha kupanga morogoro karibu mazimbu au kihonda mwenye kujua wapi kuna vyumba nijulishe sasa hivi maana niko njia panda kimawazo au nipe namba zako nikupigie