heshima kwenu wafugaji wenzangu.
nina vifaranga aina ya sasso nauza .nimeanza kuwafuga kwa ajili ya nyama na nililenga kuwaza mwezi dec mwaka huu kwani huwa wanfugwa kwa miezi 3 .
wapo mia mbili...
Nina vifaa mbalimbali vya video naviuza:
SONY Camera - HXR-MC2000 - Hii ni professional camera na nI camera nzuri saaaana. Ina internal hard drive ya 64 GB unayoweza kurecord direct ndani lakini...
Kuna Umuhimu Gani Wa Wewe Kuijali Afya Yako, Especially, Kwenye Upande Mzima Chakula Tunachokula kila Siku.
Vyakula vingine tunakula tu ili tushibe lakini kiukweli havitupi Afya Bora Kama...
subaru forester
Imetembe km :69752
yamwaka :1999
cc :1980
Lipo: Dar es salaam
imelipiwa vibari ukiwa na raum namba C au carina t.i namba C au spacio namba C UNALIPA NA LAKI 9
SABABU: alio nunuliwa...
FOREVER KIDS:
Je una Mtoto ambae anasumbua kula au anaumwa Mara kwa mara?
Basi Forever Kids ni msaada mkubwa kwa tatizo lako Hasa hasa kwa watoto.
Hiki ni kirutubisho kilichotengenezwa na...
Built in reachable lithium polymer battery
Standard TF charging port
Digital power amplifier
With red, /LED indicator
Out put power 3W
Battery charging voltage :5V
Charging time 2hrs max
Play...
Uliwahi kuwa mwanafunzi wa Bunge Primary School,Dar es salaam?Je,unaweza ku-spare muda kujaribu kufanya kitu kwa shule yetu ambayo kwa sasa imekabiliwa na matatizo kadha wa kadha....
Nilibahatika...
guys nina project yangu nafanya nilikuwa nahitaji database ya makampuni ya usafirishaji mizigo wenye magari makubwa maarufu kama malori, kama kuna mtu anayo anaweza kunitumia private msg au...
Natengeneza Masweta ya shule ya kila aina na size tofauti.Pia natengeneza baby suites za watoto na scarf na sleeveless.
Ni quality nzuri sana 100℅ acrylic
Nauza kwa jumla.
Karibuni sana
Eneo lipo ihumwa ni zuri na linafaa kwa matumizi yote. Sio mbali na mjini na halina longolongo yoyote ile. Bei ni 3,700,000 kwa kila heka. Kwa mwenye uhitaji anipigie kupitia 0625799851 na...
Salama wakuu, nauza kiwanja kwa 15m, Kiko kigamboni Geza ulole kimepakana na mradi wa viwanja, ni takriban au zaidi ya robo heka, hakijapimwa. 0784800989 sms, piga au whatsapp
Habari ndugu!!
Kiwanja kinauzwa, kinatambulika na SERIKALI ZA MITAA kwa Nakala ya MANISPAA.
Eneo: Kigamboni, opposite na D'Salaam Zoo, kabla hujafika Mwasonga Mwisho.
Ukubwa: MITA 30 kwa MITA...