Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nikon D3200 24.2 MP CMOS Digital SLR with 18-55mm f/3.5-5.6 Auto Focus-S DX VR NIKKOR Zoom Lens (Black)...Price 400 USD... haina begi lake original na kifuniko cha lens hapo mbele..vingine vyote...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nyanya wa mke wa rais amekufa na ameisha zikwa mwanza.akiwa na umri wamiaka 82 na wajukuu zaidi ya 20. Mazishi tayari mke wa rais yupo uko. Mh raisi alikuwa tait sanaaaa ameshindwa kufika, ila...
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Habari wadau, nauza mabanzi mazuri Na bei ni maelewano, Niko mafinga iringa, Pia nauza Mbao fupi za urefu wa kuanzia futi 8 hadi futi 10. Bei maelewano. Zao la paini Miti ya serikari. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Natafuta mkulima wa maharage tuwasiliane kwa 0762508455!
0 Reactions
4 Replies
769 Views
Kiwanja /shamba linauzwa Lina ukubwa wa eka 1 na nusu lipo Kibaha Mathias upande kilometa Moja na nusu toka Barabara ya morogoro kwenye kitongoji kiitwacho Jamaica being ni maelewano na ina HATI...
2 Reactions
6 Replies
946 Views
Kama unatoa hizo huduma nijulishe tuwasiliane. Kwa Huku kanda ya ziwa. asanteni
1 Reactions
1 Replies
669 Views
Km 2 kutoka barabara kuu, (yakuelekea nyegezi) kimepimwa nakina hati halali.. Mill 30 tu... Kwamawasiliano karibu #0715908050
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu habari za kazi... nauza Microsoft Nokia Lumia mpya kabisa haijatumika iko ndani ya box lake.... ni product ya kutoka US na nauza kwa shiling laki tatu tu kwa yoyote ambae ataitaji anipm
0 Reactions
5 Replies
847 Views
Wadau natafuta mashamba yawe eka moja na zaidi maeneo ya kibaha,kibamba, mpigi magoe na maeneo jirani ya hayo
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nahitaji maelezo ya kupata Media licence. Nahitaji ili niweze kugonga milango kwa urahisi zaidi na kupata interviews na kufanya public coverages bila kubughudhiwa. Zaidi eneo langu lipo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
698 Views
Nauza account ya Google Adsense kwa bei nafuu,ni non hosted account,current balance ni USD 20 na huku kwingine ina zaidi ya USD 10. Address bado haijawa verified lakin barua ya Google itafika kati...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Kama una TV ambayo ni 65" weka offer yako hapa chini, isiwe plasma tu. LG inapewa kipaumbele zaidi, smart, 3D will be added advantage. Thank You
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza karibuni Hela ngumu nw changamkia fulsa
1 Reactions
5 Replies
606 Views
....Nauza fridge aina ya LG limetumika miezi nne tu.. Bei ni shillingi laki tano (500,000)... Nimeambatanisha picture zake kwa chini.. Kwa mawasiliano zaidi unaweza kunicheck kwa number 0713...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
HABARI WAKUU. Ulimwengu wa biashara hauhitaji wataalamu wa kuinstall na kuitumia system.Bali wanahitaji wataalamu wanaoweza kukaa chini na wateja na kuwasikiliza mahitaji yao, kuchambua namna...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Hereni 5000 Choker 10000 Cheni 13000
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane. Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa wapi naweza kupata "Coin slot mashine" kwa ajili kununua?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni Kuku wakubwa ambao wanataga, kusudi ni kusafisha banda ili kuingiza mbegu mpya ya kuroiler. Napatikana Arusha Contact 0752030936 au 0744787289
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MSAADA HUU HAPA... Je unahitaji kununua gari toka Japan au nje ya nchi? Tatizo mda na kutojua nin ufanye ili kupata wauzaji sahihi? Usiwaze tena juu ya hilo. Mimi ninatoa msaada wakuagiza...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…