Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora. Kiwanja #29 & #30...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Site ya Kujenga Mnara wa simu Inapatikana(KODISHWA). Iko na Grid Kubwa ya Umeme(High T. Power) Pia kuna Transformer papo hapo kwenye Site. Utakuwa umeokoa gharama za kujenga line Kubwa kwa ajili...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habarini ndg zangu.hongereni na majukumu. Ninatafta mteja wa mananasi yatakuwa tayari bada ya wiki moja. Mahali yalipo ni bagamoyo yeyote aliye tayari aje PM karibuni. Namba yangu ya simu 0676494828.
0 Reactions
4 Replies
984 Views
Duka lipo kibaha maili moja town, lina mtaji wa sh milioni 3.... Kodi inaisha mwez wa saba Bei maelewano! Phone number 0712 584524
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Nauza kiwanja MKURANGa maeneo ya DDUNDANI
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, ni matumaini yangu hamjambo. Nauliza kwa yeyote mwenye kujua kuhusu biashara ya kuagiza spea toka dubai kuja Tanzania naomba aniunganishe ikiwezeka na wauzaji wa kule Dubai. Natanguliza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
-Mabati haya ni mazuri sana kwa kujengea mabanda ya kufugia kuku, mbuzi n.k -bado yako imara na MTU akiyapenda anaweza akayatumia kuyaezekea nyumba yake pia. -hayatunzi joto sana,haina haja ya...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Nauza kiwanja kiko sehemu nzuri sana na bei ni nzuri square meter 2000 . Karibuni sana.
1 Reactions
43 Replies
4K Views
vifaa vinapatikana call 0789684579
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Natafuta mtu mwenye uwezo wa kutengeneza app kama ya UBER Maelezo mengine yatafuata If you are intersted contact- PM Ahsante
0 Reactions
2 Replies
661 Views
Nauza viwanja/ mashamba yapo kawawa Moshi metre 200 kutoka katikati ya barabara ya Moshi Tanga/Dar kuna maji ya kutosha na umeme bei ni kuanzia mill 2 hadi 5 kwa 17.5metre kwa 35 metre...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakazi wa Dar Es Salaam karibuni sana kujipatiana mboga nzuri kutoka Bukoba kwa bei nafuu. Tunauza aina mbili za hawa samaki waliokaangwa na kubanikwa.. Tunao sangara na sato waliokaangwa au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa wanaJf nauza laini ya UWAKALA MPESA kama uko tayar ni Pm au niibox 0654191006. NIPO DAR TEGETA
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina resting rooms nzuri kweli japo ni ndogo kiukubwa,zinaenea kitanda cha 3,1/2 zipo pahala hotcake zipo 5 na vyoo viwili. •hitaji lake mkodishaji atakatia leseni •Atalipia umeme •Taratibu zote...
0 Reactions
3 Replies
562 Views
Kama kuna mtu anauza laptop ninahitaji hp core7
0 Reactions
6 Replies
927 Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa
0 Reactions
3 Replies
859 Views
Tecno boom j7 inauzwa Kwa mawasiliano zaidi nicheki 0625552440
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa anae hitaji website au blog kwa bei poa kabisa awaseiliane na sisi kupitia 0625932259 faridisadick@yahoo.com faridisadick@outlook.com Tupo Dodoma tanzania.
0 Reactions
0 Replies
770 Views
Habar wadau,nauza dstv decoda pamoja na dish lake nipo dsm.bei tsh 50,000.karibu
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau Kama kuna mtu anauza simu aina ya Tecno C 8 au C 9 au toleo lolote zuri naomba tuwasiliane PM. Simu iwe katika hali nzuri (isiwe imechoka). Mimi niko Dar Asanteni.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…