Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza vifaranga wa nyama waliokwisha patiwa chanjo zote New castle, Typhod pamoja na Bomboro. Wana afya njema na wako katika hali nzuri sana. Umri: Siku 12 Idadi: 150 Tsh. 3300 kila kifaranga...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Salaam wandugu nauza gari aina ya Suzuki Cary ipo Dar bei ni ml.6 iko vzr alie tayari karibu tuyajenge.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza simu ya tecno sh laki na elfu kumi tu taslimu za kiTanzania
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza simu tecno j8 haina tatizo lolote ni ya rangi nyeupe 270k napatikana dar es salaam 0675990776
1 Reactions
4 Replies
886 Views
....
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Wakuu, nauza mashine ya kupima wingi wa damu aina ya Hemocue 201+ kwa bei ya Tshs. 400,000/= Ni nzima kabisaaa imetumika mwaka mmoja Tuwasiliane No:- 0628-567470 Niko Morogoro.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne, Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
1 Reactions
0 Replies
915 Views
Nimejiunga rasmi na mtandao wa instagram ili kunipata hilo ndio jina langu.bado ninatoa ushauri na miongozo bure@elishachuma
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Andrew anamiliki Shamba/Ardhi ilililosajiliwa lenye Ekari 23. ,Lipo Mkoani kilimajaro Maeneo ya Chekereni. Kama unahitaji kununua linauzwa. Ama kama unahitaji kukodi kwa matumizi mbalimbali Iwe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau, Anayehitaji line ya Tigo na M-Pesa zote mbili anipe laki tano anicheck fasta. 0758844240
0 Reactions
19 Replies
2K Views
kiwanja kipo kibugumo karibu na bahari pia karibu na barabara kiwanja kimepimwa, hati ipo ukubwa wa kiwanja ni sqm 30×35 bei 28m contact 0656928075
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa 600m. Kipo Morroco, ukubwa wa kiwanja sqm 700. Kiwanja kimepimwa, kina hati, hakidaiwi na taasisi yeyote ya kifedha pia ni cha mtu binafsi. Kwa mawasiliano zaidi 0652928075
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Wakuu nawasalimu, Naomba kujuzwa tu mwenzenu maana elimu yangu ndogo,ukinunua gari zanzibar lenye plate number za kule ukifika nalo Tanganyika bandarini kuna ushuru tena?je nikilileta nikitaka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nauza madekio ya kisasa yanafanya kazi vizuri kama unavyoona kwenye video bei ni sh 20000 (elf 20) for more info call , text or watsap me 0658825141 or 0621068486
0 Reactions
0 Replies
1K Views
gari used aina probox bajet yangu 4.5 inaweza kupanda nicheck 0712046405
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta tablet isizidi bei 200k please mwenye anayo ani PM
0 Reactions
12 Replies
1K Views
1. Promote detoxfying function of liver and kidney. 2. Strengthen immune system. 3. Regulate endocrine and metabolism. 4. Maintain proper heart function. 5. Improve overall physical health and...
0 Reactions
5 Replies
861 Views
Habarini wakuu za muda huu,samahanini sana Kama kuna mtu anauza au anamjua mtu anaeuza mashine ya selcom naomba anijulishe tafadhali!!
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Ram 8gb. Core i7 (atleast i5) 64bits Video card Nvidia HDD kuanzia 300 Ofa kuanzia 450-500 0679029498 DSM
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau habarini za asubuh. Nauza maeneo yangu yaliyoko dege jiran na "magorofa ya dege" kigambon. Viko viwili sehem moja na kila kimoja kina ukubwa wa mita 23*25. Viko kama mita 60 kutoka barabaran...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…