Habari wana Jf.
Nauza kiwanja kipo Chanika jirani na mtaa wa Ngwale.
Ukubwa ni mita 15*15,,bei ni 2.7mil,,maelewano yapo.
Kiwanja hakina hati,huduma mhimu kama barabara na umeme vipo.
Umbali...
Lipa kidogokidogo kwa [emoji819]instalment
Pafanye kwako pawe na muonekano flani hv amazing na mdogomdogo payment ya amazinglifestyle
Tv,fridge,washingmachine, Musicsystem,jiko, nk
Chochote...
New htc one
Ina crack kidogo sehemu ya chini pempezoni mwa kioo ambayo inaweza ikaapuziwa maana haiathiri chochoteni 16gb
Nipigie 0788622610 .
Maassalam
Tangazo la nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017, mkwajuni sekondari
Shule ya sekondari mkwajuni, inatangaza nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017 kama ifuatavyo;
1. Kidato cha kwanza
2...
Natafuta nyumba ya haraka Tanga mjini iwe ya vyumba viwili au vitatu master, nmehamishiwa kikazi huko kama kuna dalali mzoefu kwa humu naomba anitafute kwa direct text humu au atume mawasiliano...
Ndugu zangu wadau wa JF natafuta mtu ambae anahitaji asali mbichi kutoka Tabora. Mimi ninauwezo wa kumletea kuanzia dumu za lita 20 kuanzia tano na kuendelea na ningefurahi sana kama uyo mtu...
Ukiongelea mwanamke wa nguvu huwezi kuacha kumtaja shishi,unaanzaje labda kwa mfano kutomtaja....
Aja kivingine,kwa mikono yake miwili mtoto wa Igunga anakupikia chakula asilia kisicho na...
Rejea kichwa cha habar hapo juu nahitaji wale jamaa ambao huwa wanachekesha barabaran au kwenye mabar kwa kujichora usoni na matumbo makubwa wenye no plz an pm na function J4.
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleleo vnapatka huduma nyngn znaptkana kwa ukaribu..lipia 70% thn nyngne 30% unaruhusiwa kulipia ndn ya wik 6-8
0656 698232
Habari za jioni wana JF.
Naomba mwenye kuelewa wapi naweza kupata used Electrical Wheelchair, maana mpya nimeangalia bei zake ni ghali sana. Naomba msaada wenu tafadhalini.