Tunauza vifaranga wa nyama waliokwisha patiwa chanjo zote New castle, Typhod pamoja na Bomboro. Wana afya njema na wako katika hali nzuri sana.
Umri: Siku 12
Idadi: 150
Tsh. 3300 kila kifaranga...
Wakuu, nauza mashine ya kupima wingi wa damu aina ya Hemocue 201+ kwa bei ya Tshs. 400,000/=
Ni nzima kabisaaa imetumika mwaka mmoja
Tuwasiliane No:- 0628-567470
Niko Morogoro.
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne,
Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
Andrew anamiliki Shamba/Ardhi ilililosajiliwa lenye Ekari 23. ,Lipo Mkoani kilimajaro Maeneo ya Chekereni.
Kama unahitaji kununua linauzwa.
Ama kama unahitaji kukodi kwa matumizi mbalimbali Iwe...
Kiwanja kinauzwa 600m. Kipo Morroco, ukubwa wa kiwanja sqm 700. Kiwanja kimepimwa, kina hati, hakidaiwi na taasisi yeyote ya kifedha pia ni cha mtu binafsi.
Kwa mawasiliano zaidi 0652928075
Wakuu nawasalimu,
Naomba kujuzwa tu mwenzenu maana elimu yangu ndogo,ukinunua gari zanzibar lenye plate number za kule ukifika nalo Tanganyika bandarini kuna ushuru tena?je nikilileta nikitaka...
nauza madekio ya kisasa yanafanya kazi vizuri kama unavyoona kwenye video
bei ni sh 20000 (elf 20)
for more info call , text or
watsap me
0658825141 or 0621068486
Wadau habarini za asubuh. Nauza maeneo yangu yaliyoko dege jiran na "magorofa ya dege" kigambon. Viko viwili sehem moja na kila kimoja kina ukubwa wa mita 23*25. Viko kama mita 60 kutoka barabaran...