Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, kwa anayefahamu tafadhali nijulishe wapi naweza nunua mashine za kuosha vyombo vya kulia chakula (dish washers) nimepita maeneo kadhaa sijazipa. Kwa anayejua anieleze ukubwa wa mashine na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hp Hard disc GB 500 Ram GB 2 Inatatizo la display kubadilisha ef 80
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wana JF ...natafuta hausing ya samsung j7 ...km kuna mtu anahucka na accessory za simu au unamfaham yyte unaweza kuniambia anapatikana maeneo gn ili nipate iyo hausing ...asante
0 Reactions
0 Replies
736 Views
nauza ofisi stationary ipo temeke vetenary we ni kuanza tuu kufanya kazi. mawasiliano 0713832763
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SPECIFICATIONS - Ram 8 gb - GB 128 SSD - Processor Core i5 - Mobile broadband module (Internal moderm) 3g and 4g - Wifi hotspot - Wireless Wifi - Display port - Widescreen 14-inch - Finger print...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza mayai ya kienyeji Trey 13,000 Kwa mawasiliano zaidi 0758728258 Pia mazungumzo yapo kama utahitaji mzigo mkubwa
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa yeyote aliyeko Singida na ana uwezo wa kunipatia mayai ya kienyeji zaidi ya trei 30 kila baada ya wiki 2 anicheki.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Eneo la ekari 1.5 linauzwa Mwasonga Kigambon, bei ni 10 Milini. Kama utahitaji ninapatikana kwa namba 0621 047708
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Habari wana Jf. Nauza kiwanja kipo Chanika jirani na mtaa wa Ngwale. Ukubwa ni mita 15*15,,bei ni 2.7mil,,maelewano yapo. Kiwanja hakina hati,huduma mhimu kama barabara na umeme vipo. Umbali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
natafuta printer HP Laserjet 500 Coloured Printer M551 nichek 0719210905
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Lipa kidogokidogo kwa [emoji819]instalment Pafanye kwako pawe na muonekano flani hv amazing na mdogomdogo payment ya amazinglifestyle Tv,fridge,washingmachine, Musicsystem,jiko, nk Chochote...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
New htc one Ina crack kidogo sehemu ya chini pempezoni mwa kioo ambayo inaweza ikaapuziwa maana haiathiri chochoteni 16gb Nipigie 0788622610 . Maassalam
0 Reactions
4 Replies
872 Views
Tangazo la nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017, mkwajuni sekondari Shule ya sekondari mkwajuni, inatangaza nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017 kama ifuatavyo; 1. Kidato cha kwanza 2...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau,natafuta shamba kasulu kwa mwenye nalo tuwasiliane,likiwa karibu na chanzo cha maji ni vizuri zaidi
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama uko na Laptop yako imekufa, naomba uniuzie screen yake kama spea. Ofa yangu ni Tsh 30,000/- Njoo PM.
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Nauza kiwanja changu kipo Gezaulole - Kigamboni, kimepimwa kinaukubwa wa sqm 450 bei ni 9m maongezi yapo
0 Reactions
1 Replies
720 Views
Line of weakness
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…