Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Offer ya kufungia mwaka kwa mahitaji yote ya promotional materials:- 👉Printed Tshirt @15,000 (10+ PCs) 👉Printed cap @12,000 (10+ PCs) Tunawatakia Watanzania wote heri ya siku ya Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
320 Views
Kwa mtu anayehitaji chuma na sebule kinapagishwa tandika mashine ya maji,choo cha ndani,maji,umeme unapatikana.bei 150000 kuanzia miezi 3 na kuendelea.kuna geti pia ni karibu na barabara.
1 Reactions
2 Replies
361 Views
Tunapoadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania, tujikumbushe maneno ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere kuhusu Muungano wa...
1 Reactions
7 Replies
560 Views
Pikipiki inauzwa.. Model: Loncin 110cc Location: Kigamboni Condition: Used na inafanyiwa maintenance kwa wakati Card yake utapatiwa Price: 800k NB: Ukihitaji itabidi ukaichek Kigamboni maana...
5 Reactions
13 Replies
985 Views
Top On Sale Product Recommendations! New Summer Girls Sandals Breathable Children Shoe Outdoor Non Slip Open Toe Beach Sandals Price Now: TZS 37842.17 (Original price: TZS 105113.66, 64% off)...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Geophysical Survey | Upimaji wa Uwepo wa Maji Ardhini | [emoji97][emoji97][emoji97] USHAURI -Fanya survey kabla ya kununua shamba kujua ikiwa eneo unalonunua lina maji kuepuka kununua sehemu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
TAWA WATER PROFFESIONAL: Tunachimba visima virefu na vifupi kwa kutumia mashine maalumu. Ukichimba kisima na kampuni yetu tutakuwekea vitu vifuatavyo bure kabisa 1: Tutakuwekea Upvc pipes Imara...
4 Reactions
144 Replies
31K Views
Uliza chochote unachotaka kufahamu juu ya uchimbaji wa visima #VisimaNafuu 0689 150 968
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Gari aina ya IST new model cc:1500,year of manufacture 2015, ipo vizuri sana Karibu wateja Wetu wa MR classic tuwasiliane kwa nambari 0695022051
3 Reactions
108 Replies
9K Views
Kwa mwenye uhitaji wa vifaa vya laptop na vya computer kama vile adapters ,keyboard, mouse,battery za aina zote display ,display port,hard disk ,external case na vingine vingi naomba nicheki kwa...
0 Reactions
2 Replies
470 Views
Wakuu naombeni mniungishe WA mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Hata pc moja nakupa bei ya jumla . ADAPTER,KEYBOARD, RAM, VIOO VYA LAPTOP, HDD, HDMI CABLES STAND ZA KISHUA,MOUSE ,PROTECTOR ...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Tunapatikana Dar es Salaam, Kariakoo, Kisutu, Mbezi ya Magufuli na Manzese. Mikoani na nchi jirani pia tunatuma kwa uaminifu mkubwa sana. Kwa mawasliano zaidi piga 0714528887 au tembelea website...
2 Reactions
2 Replies
344 Views
Habari wadau! Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi? Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
NAUZA COMPUTER YANGU BINAFSI AINA YA HP PROBOOK YENYE SIFA ZIFUATAZO Model: HP Probook 450 G4 CPU: core i7 7th GENERATION Storage: 512GB (Ssd). Ram: 16Gb Price: Tsh. 680,000/= NOTE: Location DSM...
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Hi natafuta shamba kibaigwa/kiteto la kukodi msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Infinix smart 8 Imenunuliwa mwezi wa 7 mwaka huu. RAM 3GB Storage 64GB Battery 5000mAh Bei 220,000/= maongezi kidogo yapo. Mwenye uhitaji karibu inbox Asante.
0 Reactions
3 Replies
569 Views
Wakuu, Sina haja ya salamu. Naitoa hii CLUTCH PRESSURE kwa bei sawa na bure, Niliiagiza mtandaoni ila imekuja ikiwa tofauti kidogo na ya kwenye gari yangu, hivyo naamua kuiuza kwa bei ndogo sana...
4 Reactions
14 Replies
672 Views
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Raha ya kusoma vitabu vya softcopy kwa Kiswahili ni kwamba vinakupa fursa ya kufikia yaliyomo kwa urahisi na haraka. Kitabu kikishatafsiriwa, huwa kinakupa mwanga wa kina wa yaliyomo ndani, na...
1 Reactions
14 Replies
899 Views
Back
Top Bottom