Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari, Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana. Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho cc 1490 Bei ni m6 inapungua kidogo No 0715568585 Usajili no DHD 2WD gari ni automatic
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Hiki ndio kitabu kitakachokupa siri ya kukua kiuchumi,kibishara na mbinu za uwekezaji. Bei ya Ofa ya sasa ni Elfu Tatu(3000) badala ya Elfu kumi bei yake ya kawaida. Tunakutumia kwa njia ya...
2 Reactions
0 Replies
591 Views
Jamani kuna watu wanapiga simu wanaweka order za vifaranga mtu unatumia garama mwisho ukifika anazima simu naomba km huitaji kitu pita wenzenu hapa ndio tunapatia chakula na kulipa Kofi. Pia...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Aina ni hausqavarna Imetumika miezi mitatu Bei NI Million 1.5 Made in Brazil
0 Reactions
1 Replies
283 Views
Aina NI hausqavar Model 272 Imetumika miezi mitatu Tu Bei NI Million 1.5
0 Reactions
0 Replies
233 Views
Habari wadau. Nahitaji maziwa ya unga kiwango cha jumla. Yaani kama nipate mtu wa kiwandani ambaye ataweza nifaulishia wastani wa kilo 500 kila wiki. Nani ana connection? [emoji848]
1 Reactions
6 Replies
875 Views
Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Neck fan kwaajili ya kukulete Hali ya ubaridi kipindi hichi cha joto.tucheki bei 18,000= tupigie simu 0762619116
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya...
42 Reactions
256 Replies
8K Views
NAUZA NYUMBA ILIOKAMILIKA UNAINGIA NA BAG LAKO LA NGUO TUH. INA ROOM 4 - 2 N MASTER BEDROOM SEBLE DINING JIKO NA STORE PUBLICTOILET UKUBWA WA ENEO SQM 700 NYUMA KUNA NYUMBA NDOGO - CHUMBA...
0 Reactions
8 Replies
554 Views
Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 (...
0 Reactions
2 Replies
471 Views
Habari wana jf .. Samsung s 8+ [emoji336] Storage GB 64[emoji736] Ram GB 4 [emoji91] Warranty 1 yrs[emoji736] Delivertly [emoji736] Bei 320000[emoji736] [emoji3513]0689169979 [emoji625]Location...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%) Bonyeza na Nunua Sifa kuu: Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Jipatie vitenge kwa shilingi elfu 10 vya kushona na 25 kuvaa bei ya jumla maelewano kwa namba 0763358287 tupo Mbeya karibuni wana JF family
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
1 Reactions
2 Replies
601 Views
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa. Kiwanda kipo arusha kwa anaye hitaji nicheki...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom