Wadau ninataka kununua TAA za kushika mkononi za SOLAR kwa ajili ya dharura pindi umeme unapokatika.
Naomba ushauri ninunue AINA GANI maan nyingi ni Vimeo. Nahitaji itakayowaka muda mrefu ikiwa...
Nyumba yenye ukubwa wa almost sqm 300 inauzwa Kimara Matosa:
LOCATION: KIMARA KWA KOMBA KAMA UNAENDA MATOSA
4 BEDROOMS HOUSE
3 BATHROOMS
1 SITTING ROOM
1 DINNING AREA
KITCHEN
STORE
PARKING...
Habari za wakati huu wakuu,
Napenda kuwataarifu kuwa wafugaji wa samaki aina ya Tilapia pamoja na wafugaji wa nguruwe tuna vyakula hivi dukani kwetu.
Chakula Cha samaki vipo kwenye makundi...
Drywall ndio habari ya dunia kwa sasa hasa katika kuta za ndani. Drywall sio mbao ni madini ya gypsum yaliyofungwa ndani ya karatasi nzito.
Drywall ina faida zifuatazo:
- Ina unafuu wa bei.
-...
Habari wakuu
Nahitaji gari ya mkononi kwa bajet ya mil 10
Aina ya gari
Nissan dualis
Rumion
Crown
Kama unayo Moja katika hizo basi naomba weka namba yako nikupigie chap tufanye biashara
HATIFUNGANI/BOND/AMANA
Ni aina ya dhamana inayotolewa na serikali au kampuni kwa lengo la kukopa fedha. Mkopaji anaweza kuwa serikali au kampuni na anaekopesha ni mwekezaji.
Mwekezaji anaponunua...
Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu
Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo...
Hello wana JF,
Karibuni ofisini kwetu kariakoo mtaa wa agrey na msimbazi jengo la canaan complex ujipatie handbags nzuri na za kisasa wa wadada na wamama kwa bei ya jumla na rejareja.
Kwa...
New Stock Alert
Pata hii Simple laptop yenye uwezo mkubwa sana👇
Hp Revolve 810 G3✅
Corei5✅
Ram 8GB✅
Ssd 256GB✅
Processor 2.3GHz✅
Backlight keyboard✅
Kioo inch 12.5✅
Touch Screen x360✅
Battery...
Kutokana na uhitaji mkubwa wa vitabu kwa lugha ya kwetu, hatuna budi kuwaletea vitabu hivyo (Softcopy na Hardcopy).
Njia ya kuhudumiwa ni kupitia WhatsApp 0737317870 pekee.
650k USD
Maongezi yapo tuwasiliane 0769619500 rasta majumba
Mita 600 kutoka beach
Ipo wa mtaa wa pili kutoka mwai kibaki road
Ukiwa gorofa ya kwanza unaona bahari
Ney Ubuyu wa Kishua
Unaanzaje kupitwa na kiburudisho hichi kizuri
Ubuyu mzuri wenye ladha ya Vanilla, Chocolate na Pilipili
Jumla na Rejareja unapata
Kisado 20,000 Ndoo ndogo 40,000 Ndoo kubwa...
Za siku nyingi wakuu, kama kichwa kinavyojieleza ,
Natafuta office space sqm 15 hadi 25 ambayo ipo vizuri kidogo na angalau iwe na parking , biashara ni consultation budget yangu 500,000-700,000...
Habari za jumapili waumini wenzangu na wanaJF wote.
Jumapili ya leo tulivu nawaletea bidhaa mpya ya unga wa uji wa lishe, unga unatoa uji mtamu sana ulio na virutubisho vyote kiafya.
Unga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.