Naiuza pikipiki yangu kwa sh.milion Moja na Laki mbili
Bado ni mpya tafadhali kama unauhitaji njoo inbox .
Mahali ni Dar
Mrejesho
Nashukru Ndugu wana Jf kwa sapot yenu nmefanikiwa kuiuza hiyo...
Pata tshirt kali iliyoprintiwa vizuri kwa ustadi wa hali ya juu kwaajili ya familia yako,couples,tshirt za kuvaa watu wa rika zote ,tshirtbza shule,kampuni,taasisi ,vikundi nk
Tunapatikana tabata...
Nauza ipad min air ipo katika hali nzuri haina
apple id wala icloud bei ni laki 8 nipo dar
nimeshindwa ku upload picha ila naweza
kukutumia whatsapp au tukaonana ukaiona kwa aliye tayari...
Shamba Lipo Tanga pongwe panapojengwa mji mpya. Heka nne (4) inatakiwa kubadilishana na Noah namba D new medel au noah vox (sio old model)
Sifa za shamba
kilometer mbili na nusu toka main road...
Kichwa kinaeleweka. Nauza gari yangu kwa Tsh milioni 9. Imetembea kms 81 elfu. Ipo mkoani Kagera. Oldmodel. Ni gari yangu dalali sitaki. Vibari vyote viko hai hadi Sept 2017. Mwenye kuhitaji ani...
Suzuki swift namba C mil 4 tu, haidaiwi vibali mpaka mwezi wa 12/2017 na iko vizuri inatembea, automatic ina 1320cc, haili mafuta kabisa, inapatikana DSM chanika
ukitaka nitafute namba 0713674291
USIPITE BILA KUSOMA
Kwa mahitaji ya tshirt za kuprintiwa kwaajili ya familia yko, couples(wapenzi),tshirt zenye swaga za vijana,tshirt wanazoweza vaa watu wa rika lolote,tshirt zenye ujumbe wa...
Habari wanajamii, tunatoa Huduma ya fire service yamitungi ujazo tofauti kilo 6,9,25,50, Huduma bora na service unafanyiwa kila banda ya miezi sita,tunauza pia karibuni Sana 'tunakuletea popote...
Chumba kipo Mwenge near TRA, Dar es salaam, kipo mahali tulivu na salama kipo ndani ya geti na paking ni kubwa, sehemu ina wapangaji wa chache na uhuru ni wako mpangaji, Bei ni 80,000 kwa mwezi...
Karibuni mjipatie raba nzuri kwa sh 35000 tu
Hatuna duka tunauza online lakini kwa uaminifu mkubwa
Njoo uweke order yako kwa kuchagua aina ya kiatu na size unayotaka
Tuna raba nzuri nyingine...
Ifanye nyumba yako, chumba chako au sebule yako kuwa na muonekano kwenye mvuto wa Aina yakeee. Kwa kutumia Wallpapers zenye ubora wa hali ya juu kutoka K-TRUST itaifanya nyumba yako kuwa na mvuto...
Habar zenu wanajf, Mimi nipo Tanga naomba kufahamishwa ni wapi naweza kupata pikpik aina ya Honda MD90 kwa dar es salaam na zinarange kwenye bei gani...natanguliza shukran.