Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naiuza pikipiki yangu kwa sh.milion Moja na Laki mbili Bado ni mpya tafadhali kama unauhitaji njoo inbox . Mahali ni Dar Mrejesho Nashukru Ndugu wana Jf kwa sapot yenu nmefanikiwa kuiuza hiyo...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
IPO KIGAMBONI, TOANGOMA Dar es Salaam, Tanzania INAPANGISHWA $250/= or TSHS: 450,000/= KWA MWEZI IPO KIGAMBONI Toangoma Kata.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata tshirt kali iliyoprintiwa vizuri kwa ustadi wa hali ya juu kwaajili ya familia yako,couples,tshirt za kuvaa watu wa rika zote ,tshirtbza shule,kampuni,taasisi ,vikundi nk Tunapatikana tabata...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Nauza ipad min air ipo katika hali nzuri haina apple id wala icloud bei ni laki 8 nipo dar nimeshindwa ku upload picha ila naweza kukutumia whatsapp au tukaonana ukaiona kwa aliye tayari...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Kwa anayeitaji laini za tigo pesa anicheki zinapatikana kwa bei nafuu
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Shamba Lipo Tanga pongwe panapojengwa mji mpya. Heka nne (4) inatakiwa kubadilishana na Noah namba D new medel au noah vox (sio old model) Sifa za shamba kilometer mbili na nusu toka main road...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Kichwa kinaeleweka. Nauza gari yangu kwa Tsh milioni 9. Imetembea kms 81 elfu. Ipo mkoani Kagera. Oldmodel. Ni gari yangu dalali sitaki. Vibari vyote viko hai hadi Sept 2017. Mwenye kuhitaji ani...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Suzuki swift namba C mil 4 tu, haidaiwi vibali mpaka mwezi wa 12/2017 na iko vizuri inatembea, automatic ina 1320cc, haili mafuta kabisa, inapatikana DSM chanika ukitaka nitafute namba 0713674291
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Mawasiliano 0655366488 Used, ipo kwenye hali nzuri Bei 400,000
0 Reactions
10 Replies
3K Views
USIPITE BILA KUSOMA Kwa mahitaji ya tshirt za kuprintiwa kwaajili ya familia yko, couples(wapenzi),tshirt zenye swaga za vijana,tshirt wanazoweza vaa watu wa rika lolote,tshirt zenye ujumbe wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wanajamii, tunatoa Huduma ya fire service yamitungi ujazo tofauti kilo 6,9,25,50, Huduma bora na service unafanyiwa kila banda ya miezi sita,tunauza pia karibuni Sana 'tunakuletea popote...
0 Reactions
5 Replies
801 Views
Chumba kipo Mwenge near TRA, Dar es salaam, kipo mahali tulivu na salama kipo ndani ya geti na paking ni kubwa, sehemu ina wapangaji wa chache na uhuru ni wako mpangaji, Bei ni 80,000 kwa mwezi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Laptop laptop laptop nauza Acer aspire 8730G hdd 250gb ram 3gb processor core2 duo 18.4" display kwa wacheza game ina nvidia speed 2ghz betri nayo nzima..bei 280,000 maongezi yapo. Hp mini...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Jipatie Unlock code Tshs.7000 Huawei Ascend Y220 Y221 Y320 Y330 Y321 Y360 Y511 Y520 Y600 G500 Vodafone Smart VF695 V695 V785 VF795 V795 V200 VF300 Kwa mawasiliano piga 0757426730 tembelea TOP...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Karibuni mjipatie raba nzuri kwa sh 35000 tu Hatuna duka tunauza online lakini kwa uaminifu mkubwa Njoo uweke order yako kwa kuchagua aina ya kiatu na size unayotaka Tuna raba nzuri nyingine...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua wapi vinauzwa hivyo ving'amuzi hapa Dar na bei yake kwa sasa. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
689 Views
Ifanye nyumba yako, chumba chako au sebule yako kuwa na muonekano kwenye mvuto wa Aina yakeee. Kwa kutumia Wallpapers zenye ubora wa hali ya juu kutoka K-TRUST itaifanya nyumba yako kuwa na mvuto...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habar zenu wanajf, Mimi nipo Tanga naomba kufahamishwa ni wapi naweza kupata pikpik aina ya Honda MD90 kwa dar es salaam na zinarange kwenye bei gani...natanguliza shukran.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…