Mashine ya KuBet

G.T.L

JF-Expert Member
Jul 15, 2012
1,233
2,466
Nauliza ni jinsi gani naweza kuwa wakala wa betting, niko Mkoa wa Singida, nahitaji kuweka mashine hii ya Betting kwenye ofisi yangu.
Maswali Muhimu...
1. Je, nianzie wapi kupata mashine hii?
2. Vigezo na masharti ni yapi?
3. Ni vipi naweza kufaidika na biashara hii?
 
Back
Top Bottom