CCC LTD,inawakaribisha Watanzania wote kwenye mradi wa uwezeshaji ktk sekta ya Makazi. Sera yetu ni kufanikisha upatikanaji wa Makazi kwa njia rahisi kwa watu wengi wa kipato cha chini kati na...
Katika kipindi hiki cha sikukuu ya pasaka.. Mwenye uhitaji wa kuku mmoja au au zaid ya hapo kwa lengo la kuenjoy mwenyewe au biashara... Baaaas toa order sasa ili upate kuku walio nona na wenye...
Habari wana jf?
Nilikuwa nimeanzisha ka mrad kakufuga nguruwe, nna nguruwe wakubwa wa tatu. Na watoto wao wenye miezi 4. Nnawauza wote kwa pamoja! Bei ni maelewano tu. Eneo nnapofugia ni kbaha...
Kipo Madale kwa Kawawa,
Kina ukubwa wa Meter 20x20. Kipo kwenye eneo lililopimwa kwajili ya makazi ya watu. Kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Bei Shilingi Milioni Sita na na laki...
Umofia kwenu wadau.
Rejea kichwa hapo juu,nahitaji mojawapo ya hizo pikipiki tajwa hapo juu bajeti ni 1m.
CONDITION.
Isiwe imetumika zaidi ya miezi 6.
Napatikana IRINGA.
Heshima kwenu wakuu,,
,natafuta Flem kwa ajili ya kuuza Nguo na urembo, kati ya maeneo haya,sinza,tabata,Ubungo, yeyote mwenye kujuwa,naomba anijuze tafadhali.iwe barabarani.
Natanguliza shukrani...
Jamani nawaomba kesho muwe makini na taharifa mbalimbali mtakazo zipokea nyingine zaweza kuwa sio za kweli kutokana na siku ya kesho 1/4/2017 ni siku ambayo watu wengi wana amini ni siku ya wajinga
Habari rafiki, kijana,ndugu,mfanyabiashara, wahitimu wa vyuo na watanzania wote kwa ujumla.
1.Je ungependa kuungana nami katika huduma mpya ya kusafisha sink za toilet, za kunawia na vigae kwa...
Salaam..wandugu nna nyumba nyingine tena sokoni ipo Dodoma mjini meliwa..ukubwa wa kiwanja ni 25*33 haina fence ila ina grill na imepauliwa bado finishing tuu..umeme na maji ni uhakika bei 35...
Kwa mahitaji yako ya
Plumbing...Fire system Drainage
Pamoja na Plumbing Material karibu tukuhudumie
Tunapatikana Kariakoo Mtaa wa Sikukuu na Omari Londo
Wakuu Habari,
.
Nina Macbook Pro 13-inch ya mwaka 2009 ila battery yake imekufa sasa ninatafuta Mwenye kujua wapi nitapata tuwasiliane kwa namba 0715895535 au 0784895535
Pigangoma.
Bei ni 12000, ni wakienyeji wapo 30, naweza kukuletea 30-50 kila wiki kama utahitaji nipigie kuweka order yako.
Mawasiliano 0716863406
Kwa wale wa dar nipe order yako mapema ili jioni upate kuku...