Hi Guys!!
Naulizia availability ya car care products especially in Dar es salaam!! Kwa anayefahamu; ningependa kufahamu ni wapi hasa naweza kuzipata.
Car care products ninazoulizia ni pamoja na...
Wakuu habari za leo.
Naomba msaada wenu. Mke wangu anapenda sana leo ale Uyoga na mimi sijui pale unapouzwa. Naomba mnielekeze tafadhali.
Asanteni sana!!
Make : Toyota
Model : Kluger
Mileage : 128,970km
Engine size: 2,400cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2001
Doors : 5
Seats...
Make : Toyota
Model : Kluger
Mileage : 128,970km
Engine size: 2,400cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Automatic
M/Year : 2001
Doors : 5
Seats...
Jamani napanda ukujukwaani kutoa hitaji langu.nina tv yangu lg 3d lakin ninauhaba wa movie za 3d sina ata moja kila nikienda wanapouza movie hiz za kubarni awana nimezunguka sana naomba kwa...
Mpendwa mdau tunauza Ac aina ya Chigo bei ni kama ifutatavyo.
1.Hp 1 bei ni tsh. 800, 000
2.Hp 1.5 bei tsh. 1, 200, 000
3.Hp 2 Bei tsh. 1, 450, 000
4.Hp 2.5 bei tsh. 1, 700, 000
Kwa garama hizi...
Wadau, hivi sasa kuna shindano linaendelea kwa jina la Free Car Giveaway. Hili ni shindano ambalo Mshindi mmoja atazawadiwa gari moja na washindi wengine 105 watazawadiwa kuponi. Baada ya kuona...