Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba ipo swaswa ina vyumba vinne vitatu master ina fence umeme pamoja na maji bei 350000 kwa mwezi kwa miezi sita
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Color: Grey (unlocked), location: Arusha City, Storage Capacity: 128 GB, Condition: Used, No scratches, Just as new. Comes with Charger and Earphones. Price: 1,400,000 inbox me
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari natafuta eneo kwa ajili ya carwash Dodoma.km unalo au unaweza kunisaidia tafadhali
0 Reactions
1 Replies
965 Views
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi binafsi sioni sababu ya mtu kunuka jasho hata kwa dakika moja. Ni rahisi sana kunukia vizuri. Njoo nikupe bidhaa zote zitakazokuacha na harufu nzuri muda wote. Tunaanzia mdomoni, kwa kukupa...
1 Reactions
3 Replies
985 Views
Cm nzima haina tatizo lolote na ndio nnayotumia. Price fixed.... Exchange only with iPhone 6+(64GB)
0 Reactions
0 Replies
374 Views
Mwenye anauza kifaa tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kupitia 0764339400/0625774881 ila bei iwe nzuri plz Mwanza
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Habari za wakati huu Wakuu natumai muwazima wa afya tele Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 20 nimefanya kazi zakuajiriwa takribani miaka miwili nimeona issue ya kuajiriwa. Napoteza muda mwingi...
0 Reactions
4 Replies
767 Views
Jipatie line ya Tigo pesa na M-pesa zote mbili kwa sh laki nne tu. Unatumiwa popote ulipo bila matatizo.
1 Reactions
5 Replies
833 Views
Laini wakala wa M-pesa, Tigopesa, Airtelmoney na Halopesa zinauzwa,bei ni 450,000/= kwa zote nne. Kama una hitaji nitafute kupitia 0755-400005 au 0719-733338
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Original Naviforce .Call or Whatsapp 0655366488 kujipatia saa nzuri na imara. [emoji93] Haiingizi maji[emoji93] Inakuja na box lake[emoji93] Dar es Salaam unaletewa popote[emoji93] Mikoani...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
ANZA MWAKA 2015 KWA KUANZISHA KIWANDA CHAKO KIDOGO CHA PIPI, TOFFEE NA JOJO. KWA TZS 15,000 TU, UNAWEZA KUBADILI MAISHA YAKO KABISA KUTOKA KWENYE KUUZA MUDA WAKO KWA MWEZI KWA MSHAHARA MDOGO NA...
0 Reactions
16 Replies
20K Views
Habari zenu wapendwa.. Naomba kama kuna mtu anaejua bei ya Mashine za kutengenezea Icecream..
1 Reactions
6 Replies
860 Views
Wakuu nina kitalu nimesheheni miche ya miAple, nitakuuzia na kukupa somo namna ya kuipanda bei 10,000/- kila mche. Baada ya miezi 8-10 utaanza kufurahia matunda yake 0754459572 Unaruhusiwa kuja...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Kipo Madale (Kinondoni Dar) kina ukubwa wa Meter 20x22 kinafikika kirahisi kwa gari na umeme umefika. Mimi mwenyewe ndiyo mmiliki ila sijakikatia hati bado. Bei Shiling milioni sita na laki saba...
0 Reactions
0 Replies
531 Views
Available
0 Reactions
5 Replies
721 Views
Natafuta line za uwakala za Tigo pesa na M pesa bei nipeni isiwe kubbwa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…