Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo...
Sajili kampuni yako sasa kwa 350,000
Tutakusaidia usajili
1. Brela utapata cheti haraka
2. TRA makadirio madogo ya kodi
3. Maombi ya leseni
Yote haya kwa 350,000
Kwa mawasiliano zaidi
0765042935...
Wadau wa graphics,gaming,na video production nauza macbook Pro za 2018 kwa bei ya jumla
Specs:
Macbook Pro
display Retina Iris display 13.3'
RAM: 16GB
Storage: ssd 500GB
Processor intel core i 5...
Habari wakuu?
Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua...
Nimeona wajasiriamali tukutane hapa kwa kubadirishana mawazo juu ya madini ya aina mbalimbali. Ni kwa kuuliza maswali, kurusha picha za madini, kupeana ushauri, kujenga mtandao, masoko, nk.
Sent...
Kama ni ndiyo basi DAY DREAMER TZ CONSULTANCY ni mkombozii Kwako. Sisi ni wazoefu wa masuala yote yakusajili biashara(kampuni au jina la biashara? kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara...
Wale wenye wazo la kuanzisha bakery au kuongeza vifaa katika bakery zao tunawakaribisha mashine zote zipo tunapatikana kariakoo mtaa wa masasi na tandamti namba 0688147644 sms/WhatsApp...
Tunapamba harusi, sendoff, birthday party, graduation na pia tunakodisha ukumbi wa kwa bei nafuu. Tunapatikana Mwanza Capripoint Kwa mawasiliano zaidi 0694089649.
Karibuni sana.
Hapa tunakuletea ujenzi bora wa Tanga stone. Tumebobea kubuni kukata na kuyajenga mawe ya Tanga.
Ofisi yetu ipo Rufungira Mwenge utatupata kwa namba hii 0766111212
pia kupitia whatsapp utaweza...
Ifahamu Power bank ya umeme,kwa ajili ya Jengo,Ofisi au chumba n.k
Katika maisha ya kila siku tuna changamoto ya kukatika kwa umeme kwa maeneo mengi. Kutokuwa na umeme wa kuaminika kunaweza...
Habari wakuu!!
Kwa wale wenye uhitaji wa kutengeneza website kwa ajili biashara pamoja na online radio karibu sana , tunatengeneza kwa ubora kabisa unaotaka!!
Huu ni mfano wa website pamoja na...
Wakuu mko poa.
Nmekuja kutafta fursa acha niende kwenye point..
Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designerna content creater.
Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.
Aina za Kazi nilizowahi...
Raum inaenda kwa mil 10 tu. Imetumika miez 3 tu.
SPACIO mpya kabisa..imetoka leo tu bandarini
Inauzika kwa mil 12.5
Kwa biashara nichek namba 0679502252
Mnyilinga Digital tunakupa Huduma Bora za Graphic Design kwa Ajili ya Kukuza Biashara na brand Yako! Bland
Umechoka na muonekano wa kawaida wa biashara yako mtandaoni? Unahitaji huduma za...
Habari wakuuu,
Natafuta chumba cha kupanga ambacho hakipo mbali sana na michenzani mall, Zanzibar. Chumba kiwe master na bajeti yangu ni kisizidi laki moja kwa mwezi.
Anayekifahamu au ambaye...
Choose Vodacom as your dedicated internet partner and get speeds of up to 1 GB per second and a cost-effective data plan to suit your internet needs.
Benefits
-24/7 internet connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.