LAB unga wa lishe tunatengeneza unga unaozingatia viini lishe muhimu na mtamu. Lishe haitakiwi kuwa na mchanganyiko wa nafaka nyingi mfano mchele, ngano ulezi maana zote ni wanga zinaweza kumsumbua mtoto tumbo. Ni mchanganyiko wa mahindi yasiyokobolewa, mbegu za maboga na ulezi.. msafi mno ukiunywa LAZIMA urudi, tunapokea special oda kwa mchanganyiko unaohitaji tafadhali piga 0738664971 instagram utatupata kwa ukurasa huu: lab_unga_wa_lishe